Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Hata Ndugayi kanuna tu... mbona mkuu wa nchi anaangalia pembeni? Hiyo picha inaongea mengi.
Hata Ndugayi kanuna tu... mbona mkuu wa nchi anaangalia pembeni? Hiyo picha inaongea mengi.
Ndege zipo mkuu maana zingine hazina hata routeHuchelewi kusikia karudi Zanzibar usiku huu na ukamuona kwenye kajisherehe fulani huko urojoni Zenji.
Alipokuwa spika alikuwa anajiona bonge la mjanja na sasa anaiona dunia chunguKwa hiyo kavaa kichui chui ili tumwogope?
Ndugai ni sawa na mtaka nyingi nasaba na kuambulia msiba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siku hiyo nitagonga K-vant ya kutosha kwa furahaHii siyo stori tena. Tunataka kusikia covid wameondolewa bungeni..
Hakuna cha urembo zaidi ya TuliaKwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
Kwa taaaabuuuuu saaanaaaaa!!!!Ndugai kaona yaishe nadhani
Vibaya sana hasa huyo AgweShida ya siasa hapa unaweza kukuta kila mmoja anatukana kimoyomoyo
Nilimsikia Ayubu akiomba toba kwa Mtemi Hangaya...huku akinukuu Biblia ambayo kwanza haijui na pili haiamini! Ndo maana aliropoka kuwa Yesu alikuwa na mke.....Shame on Job Ndugai!!
Ebu muangalie Ndugayi alivyo nuna
Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Picha inaongea yote . Ndugai sijui anataka nini tena kama ni fedha anazo nyingi tu na zingine zinakuja vyeo havina dhamana bora akubali kwamba yametimia.View attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Picha inaongea yote hakuna ukaribu tenaRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Hasa kwenye kuikataa chanjo alikuwa sahihi sana. Naweza kukutumia link uangalie uone ukweli
Naiangalia TZ yetu baada ya mwamba kuondoka mwaka jana.
The problem with our brother Job is he is short in height and character.Aisee kumbe Ndugai ni mfupi kama Kawawa? Ndiyo maana anasumbuliwa na small man syndrome
Urais mtamu sana, mama anazidi tu kuwa kijana
Nimekosa sanaNimekosa Mimi