Trueman m
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 239
- 241
Siyo lazima awe mbunge. Uwe unaelewa wanaofahamu wakisema, usibishe kitu ambacho huna uhakika nacho.Uspika lazima atokane na Bunge yaani lazima awe Mbunge
Siyo lazima awe mbunge. Uwe unaelewa wanaofahamu wakisema, usibishe kitu ambacho huna uhakika nacho.Uspika lazima atokane na Bunge yaani lazima awe Mbunge
Makonda anaweza kuwa mzuri sana kuliko huyo ProfYupi huyo?
SawaMakonda anaweza kuwa mzuri sana kuliko huyo Prof
Sawa kwa kweli hapo niliteleza sikujua basi sawa BossSiyo lazima awe mbunge. Uwe unaelewa wanaofahamu wakisema, usibishe kitu ambacho huna uhakika nacho.
Job anataka aendelee kutibiwa marukanga yake kwa gharama ya bunge,ngoja tukate vidole vilivyobakiSPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili.
Ndugai ambaye amekuwa katika nafasi hiyo katika Bunge la 11 amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo na kuirejesha leo katika ofisi makao makuu ya CCM jijini Dodoma.
Akizungumza baada ya kurejesha fomu kwa Katibu Msaidizi Idara ya Oganaizesheni CCM Taifa, Solomon Itunda, Ndugai amewaomba Watanzania wamuombee ili chama kimteue katika nafasi hiyo.
Aidha Itunda amesema kuwa fomu hizo zinatolewa kwa gharama ya Sh 500, 000 na zoezi hili litafikia kikomo leo saa 10 jioni.
HapatiNgoja akamalize ngwe ya mwisho
Aibu haoni?Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili.
Ndugai ambaye amekuwa katika nafasi hiyo katika Bunge la 11 amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo na kuirejesha leo katika ofisi makao makuu ya CCM jijini Dodoma.
Akizungumza baada ya kurejesha fomu kwa Katibu Msaidizi Idara ya Oganaizesheni CCM Taifa, Solomon Itunda, Ndugai amewaomba Watanzania wamuombee ili chama kimteue katika nafasi hiyo.
Aidha Itunda amesema kuwa fomu hizo zinatolewa kwa gharama ya Sh 500, 000 na zoezi hili litafikia kikomo leo saa 10 jioni.
😅😅😅 Hiyo ni baada ya uchafuzi mkuu uliopita, na sio ngwe hii!Aibu haoni?
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili.
Ndugai ambaye amekuwa katika nafasi hiyo katika Bunge la 11 amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo na kuirejesha leo katika ofisi makao makuu ya CCM jijini Dodoma.
Akizungumza baada ya kurejesha fomu kwa Katibu Msaidizi Idara ya Oganaizesheni CCM Taifa, Solomon Itunda, Ndugai amewaomba Watanzania wamuombee ili chama kimteue katika nafasi hiyo.
Aidha Itunda amesema kuwa fomu hizo zinatolewa kwa gharama ya Sh 500, 000 na zoezi hili litafikia kikomo leo saa 10 jioni.
Huna akiliSasa kwa nini alijiuzuru?kama kweli akirudi heshma ya kiti itakua chini sana
UmenishtuaSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili.
Ndugai ambaye amekuwa katika nafasi hiyo katika Bunge la 11 amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo na kuirejesha leo katika ofisi makao makuu ya CCM jijini Dodoma.
Akizungumza baada ya kurejesha fomu kwa Katibu Msaidizi Idara ya Oganaizesheni CCM Taifa, Solomon Itunda, Ndugai amewaomba Watanzania wamuombee ili chama kimteue katika nafasi hiyo.
Aidha Itunda amesema kuwa fomu hizo zinatolewa kwa gharama ya Sh 500, 000 na zoezi hili litafikia kikomo leo saa 10 jioni.
Alijiuzuru ya nini sasa