Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Katika kutafakari saaana na kuangalia ndani ya CCM kwa wale walio chukua form kuwania nafasi ya USPIKA wa Bunge(10). Nimepatwa na wasiwasi saana, kwani naonavyombo vyote vya Habari(Magazeti,TV,Radio), Taasisi za Elimu, Na Raia, Wanao tumia mitandao ya Internet wamekuwa wakiangaza macho yao kwa Andrew Chenge na ninamashaka makubwa sana CCM kumpitisha Chenge kwani ita kuwa ni ndoto ya mchana kweuuupee nadhani twapigwa changa la macho hapo.
Lakini tukirudi nyuma tutafakali katika hawa wagombea USPIKA tokea CCM kama JOB NDUGAE nadhani ni mmoja wa mafisadi kwani yeye yupo kama vile ni mmoja wetu sie tunaopinga vita ya mafisadi lakini kavaa ngozi ya Chui huyi mtu nina mashaka sana nae kuwa CCM yaweza mpitisha maana yeye yupo yupo machoni pa raia anaonekana yuko safi na hana upande.
Wana JF hili ndolo duku duku langu.
Mwageni nanyi hoja zenu karibuni uwanja ni wenu huu wa maoni
Katika kutafakari saaana na kuangalia ndani ya CCM kwa wale walio chukua form kuwania nafasi ya USPIKA wa Bunge(10). Nimepatwa na wasiwasi saana, kwani naonavyombo vyote vya Habari(Magazeti,TV,Radio), Taasisi za Elimu, Na Raia, Wanao tumia mitandao ya Internet wamekuwa wakiangaza macho yao kwa Andrew Chenge na ninamashaka makubwa sana CCM kumpitisha Chenge kwani ita kuwa ni ndoto ya mchana kweuuupee nadhani twapigwa changa la macho hapo.
Lakini tukirudi nyuma tutafakali katika hawa wagombea USPIKA tokea CCM kama JOB NDUGAE nadhani ni mmoja wa mafisadi kwani yeye yupo kama vile ni mmoja wetu sie tunaopinga vita ya mafisadi lakini kavaa ngozi ya Chui huyi mtu nina mashaka sana nae kuwa CCM yaweza mpitisha maana yeye yupo yupo machoni pa raia anaonekana yuko safi na hana upande.
Wana JF hili ndolo duku duku langu.
Mwageni nanyi hoja zenu karibuni uwanja ni wenu huu wa maoni