kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 637
- 555
Habari wanajukwaa, naulizia hivi wa job junction kuna mtu alishawahi kupata kazi kupitia wao? Maana walitoa tangazo wakasema tuma cv baadae wakatuma email wakaweka namba ya simu niwapigie, mara wananiambia leta cv tena hardcopy hivi mbona wababaishaji kuna ukweli hapo wa kupata ajira? Maana hata hizo kazi hazijaonyesha ni kampuni gan