bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Nipo napambana na utafutaji wa kazi si unajua tena maisha kila siku ni mchakamchaka. Nimekutana na kazi kwenye gazeti na naona inanifaa sana. Mode of application ya kazi imekaa kama ifuatavo
To apply please send
Maswali yangu ni namba 2 pale anaposema kuwa atleast 3 references with current email and telephone contact anamaanisha wale marefari wanaokuwa kwenye CV yangu ama anamaanisha marefari wangu watume references sehemu hiyo nayoaply kazi?
Na hiyo namba 3 inayohusu salary history inamaanisha niandike salary history yangu kwenye application letter ama niatach salary slip zangu kama mbili tatu vile. Please mwenye uelewa anisaidie maana natamani sana kuiaply hiyo kazi na sitaki kukosea kwenye hiyo applicatio yangu
To apply please send
- Your current CV
- At least 3 references with current email and telephone contact
- Your salary history
- Cover letter describing your interest in this post
Maswali yangu ni namba 2 pale anaposema kuwa atleast 3 references with current email and telephone contact anamaanisha wale marefari wanaokuwa kwenye CV yangu ama anamaanisha marefari wangu watume references sehemu hiyo nayoaply kazi?
Na hiyo namba 3 inayohusu salary history inamaanisha niandike salary history yangu kwenye application letter ama niatach salary slip zangu kama mbili tatu vile. Please mwenye uelewa anisaidie maana natamani sana kuiaply hiyo kazi na sitaki kukosea kwenye hiyo applicatio yangu