Affluence Training
Member
- Feb 6, 2018
- 5
- 4
Kama umesoma kiambatanishi chao mpaka mwisho utaona kuwa wameonyesha kwenye anuwani kuwa wapo Dar es salaam, pili yawezekana kampuni ndio ameanzishwa hivi karibuni hivyo kutumia anuwani ya barua pepe ya host ya gmail ni jambo la kawaida tu, kwani mimi mwenyewe kampuni ninayofanyia (ni kampuni binafsi) ina zaidi ya miaka saba tena ni kubwa tu kiasi ina watumishi 25 lakini mpaka leo tunatumia anuani za gmail na yahooHamna kazi hapa hiyo Kampuni hewa haijaonyesha ofisi ipo wapi mbili anatumia gmail hivyo ombeni mtanipa mrejesho Hamna kazi hapo