JM Kikwete: Maisha na mali za Watu Vs. Hasara ya Mabomu

Nsololi

JF-Expert Member
Mar 8, 2007
298
80
Ndugu wana JF.

Najua mengi yamejadilliwa juu ya milipuko ya mabomu Gongolamboto. Jambo moja linanipa shida ni pale Rais J. M. Kikwete katika kauli yake kuonesha masikitiko makubwa sana kwa kile alicho sema ni hasara ya kupoteza mabomu iliyoipata serikali. Je, ni halali kauili hii ipite bila kujadiliwa???? Wabunge na wanasiasa wa mlionje ya CCM, je hii ni kauli nzuri ya kisiasa inayotakiwa kutolewa na mkuu wa nchi?????
Je, mtu, kama mfanyakazi wa TTCL aliyepoteza mke, watoto wawili na ndugu yake atapokeaje kauli hii ya rais??????? Kuna nini hasa cha kumpongeza mkuu wa majeshi katika jambo hili???????
 
Watu waliokufa ni Watanzania Serikali imeonyesha hisia zake kwa kuwapoteza watu wake. Na silaha zilizoteketea zimenunuliwa kwa kodi za Watanzania hivyo lazima Serikali pia isikitikie hilo kwani itabidi pesa labda ambazo zingetumika mashuleni zikanunue silaha. Kwani mambo yote yanayoendelea kuanzia hospitali, huduma kwenye kambi za waathirika, tathmini ya uharibifu wa makazi ya watu unaoendelea wewe hujaona kama Serikali inajali watu wake!!!!!!!!!!!!!Dont be negative on each and everything
 
Back
Top Bottom