T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,926
Nimejuaje? Kwani we kujua Singida ipo ni lazima ufike uko.Sasa km hukwenda unajuaje unakataaje mtoto wa kike kwenda? Au habari za kusimuliwa ndo zinakupumbaza??
Dada mmoja ana mtoto sahivi, usiniulize kapataje mimba na hatua gani zilifuatia baada ya tukio hilo.