JKT - Makutupora - OP Vyama VINGI

ELNIN0

JF-Expert Member
Nov 26, 2009
4,161
1,460
JF

Nafungua mjadala wetu hasa tuliopita JKT miaka ile ya 90. ni kukumbushana tu na kutafutana tupo wapi - Kifupi mimi nilikuwa mlinzi wa kuni pake makutu na jamaa mmoja myamwezi wa sikonge kwenye kile kibanda chetu pale.

Kwa wana Makutu hasa D. Coy mnamkumbuka Matondo au shemeji? na je mnakumbuka misemo hii
1. Doso kafie kwenu
2. Kindipundipu
3. Usawa wa Guduria
4. Mzakwe ( kwa wale walikuwa wanapiga mnazi wa dodoma)
5. Kupiga Tosi
6. Kichele
7. Mitunduruni
8. Madikokiko
9. Kupiga Burst
10. Kalinye-Kalinye
11. Songombingo
12. Kujongo
13. Kurutuuuuuuu...

Misemo hii ina ilikuwa na maana yake, kwa wale waliopitia Makutu watafurahi na wanayo mingi

Jamani tukumbushane enzi zile za kina afande Mwiba, Zimwi etc mfano palikuwa hapatoshi kama unajongo (unatoroka) then ukutane na Zimwi ha ha ha
Manake ataanza Kalinye-kalinye then songombingo harafu anamalizia na doso kafie kwenu...nafikiri ukitoka hapo hutatamani kula
 
JF

Nafungua mjadala wetu hasa tuliopita JKT miaka ile ya 90. ni kukumbushana tu na kutafutana tupo wapi - Kifupi mimi nilikuwa mlinzi wa kuni pake makutu na jamaa mmoja myamwezi wa sikonge kwenye kile kibanda chetu pale.

Kwa wana Makutu hasa D. Coy mnamkumbuka Matondo au shemeji? na je mnakumbuka misemo hii
1. Doso kafie kwenu
2. Kindipundipu
3. Usawa wa Guduria
4. Mzakwe ( kwa wale walikuwa wanapiga mnazi wa dodoma)
5. Kupiga Tosi
6. Kichele
7. Mitunduruni
8. Madikokiko
9. Kupiga Burst
10. Kalinye-Kalinye
11. Songombingo
12. Kujongo
13. Kurutuuuuuuu...

Misemo hii ina ilikuwa na maana yake, kwa wale waliopitia Makutu watafurahi na wanayo mingi

Jamani tukumbushane enzi zile za kina afande Mwiba, Zimwi etc mfano palikuwa hapatoshi kama unajongo (unatoroka) then ukutane na Zimwi ha ha ha
Manake ataanza Kalinye-kalinye then songombingo harafu anamalizia na doso kafie kwenu...nafikiri ukitoka hapo hutatamani kula

Ahsante sana Mkuu kwa kunikumbusha enzi hizo. Mimi nilikuwa B Coy na mshikaji wangu Masanilo. Nimemkumbuka sana CPL Kimbunga aliyekuwa anatamba kwamba amesoma hadi Std 7 (form seven) lakini anachukua mabinti wa nguvu, form 4 na 6!! Usimsahau adjutant (Kingu) aliyekuwa na rekodi ya kupitia hadi wasichana 80 kwa mwaka na anatunza rekodi zake kwa kila mwaka!!!

Halafu nimekubuka kuwa tulikuwa tunatesa sana na Zabibu. Usiku tunakwenda na viroba na kuvijaza (not stealing, just taking some). Washikaji akina Kwame Makame, Jenge na TT wanawatumia wake zao huko Serengeti!!!!!
 
JF

Nafungua mjadala wetu hasa tuliopita JKT miaka ile ya 90. ni kukumbushana tu na kutafutana tupo wapi - Kifupi mimi nilikuwa mlinzi wa kuni pake makutu na jamaa mmoja myamwezi wa sikonge kwenye kile kibanda chetu pale.

Kwa wana Makutu hasa D. Coy mnamkumbuka Matondo au shemeji? na je mnakumbuka misemo hii
1. Doso kafie kwenu
2. Kindipundipu
3. Usawa wa Guduria
4. Mzakwe ( kwa wale walikuwa wanapiga mnazi wa dodoma)
5. Kupiga Tosi
6. Kichele
7. Mitunduruni
8. Madikokiko
9. Kupiga Burst
10. Kalinye-Kalinye
11. Songombingo
12. Kujongo
13. Kurutuuuuuuu...

Misemo hii ina ilikuwa na maana yake, kwa wale waliopitia Makutu watafurahi na wanayo mingi

Jamani tukumbushane enzi zile za kina afande Mwiba, Zimwi etc mfano palikuwa hapatoshi kama unajongo (unatoroka) then ukutane na Zimwi ha ha ha
Manake ataanza Kalinye-kalinye then songombingo harafu anamalizia na doso kafie kwenu...nafikiri ukitoka hapo hutatamani kula


Hayo maneno mimi naona yalikuwa karibu JKT zote isipokuwa machache machahe tu kama Mitunduruni na wakati tukiwa ruvu tuliita Vibwende.

Neno nililolipenda ni USAA A GUDURIA na kuna neno hapo umelisahau POLOLO.

Mimi nilikuwa RUVU kama kuruta na Service nilikuwa Mgulani.

Kweli **** mengi tulijifunza huko ambayo sio rahisi kuyaeleza.
 
Wale wa VIBWENDE KWA BABU MPO? Nakumbuka tulipokuwa tunaenda kuhamia ndenge kwenye shamba la mpunga Ruvu. Tulikuwa tunallala tu tukisema wacha ndege wale mpunga kwani walikuwa hawaji na magunia ya kubebea.
 
Wale wa VIBWENDE KWA BABU MPO? Nakumbuka tulipokuwa tunaenda kuhamia ndenge kwenye shamba la mpunga Ruvu. Tulikuwa tunallala tu tukisema wacha ndege wale mpunga kwani walikuwa hawaji na magunia ya kubebea.

Sisi tulikuwa phase A kula mayai tu.
 
Ndani ya Makutu mi nilikuwa E-Coy (Eagle Coy).
Nilikuwa na messtin mbili, kubwa na ndogo. Ile kubwa niliikarabati ikawa supersize, usawa wa gudulia inapakia si mchezo.
Ilikuwa vurugu na maafande NCOs akina Mwiba, Matondo, Kimbunga, Mwashambwa, n.k.
 
Mh! iI wish wasingefuta JKT, habari hizi nzuri nimezikosa! Jamani sikufanikiwa kwenda JKT kipindi namaliza chuo nilikuwa tayari nimejiandaa kujiunga JKT mara likafutwaaaaa! na sasa tunapata historia kama hizi FOR sure I missed somthing
 
Du!!!,Kiongozi umenikumbusha mbali sana,Mie nilikuwa Eagle coy Mafinga,Then Chale Coy Itende JKT operation miezi sita,unanikumbusha mwendo wa kuruta ni kunyakua!!
 
kaka zangu wawili na dada yangu mmoja walipita jeshini, mie wakati nipo frm five wakaifuta. kweli wote walikuwa wakisimulia mpaka utafurahi. my bro wa kwanza alikuwa oljoro jkt, anasimulia kuna siku alikuwa anajongo saa kumi usiku ili aende morogoro idm kurudisha form za chuo akakutana na watu km saba hivi wana jongo wakaungana basi mwendo km wa nusu saa hivi wakakutana na afande duh ilikuwa balaa waliruka kichura na kukwepa ndege for 2hrs, funny enough kati ya watu aliokuwa anakwepa nao ndege siku hiyo sasa hivi ni shemeji yetu hahaa wakikutana utacheka mpaka mbavu zichanike, pamoja na kukamatwa kesho yake akajongo vile vile. sister wangu alikuwa mafinga jkt six months halafu akamalizia itende mbeya anakuambia mkwara wa afande mafinga hapo alitishia kumzika mtu mzima mzima, jamaa alikuwa mtoto wa kibosile katoka dar anajifanya eti mayai akapewa adhabu ya kuchimba handaki la afande jamaa 2days akamaliza alipomaliza afande akamwambia wewe ndo afande ingia kwenye makao ya milele, jamaa hajui nini kinaendelea akaingia afande akamfukia jamaa kikabaki kichwa alafu alaletewa simu ya ttcl ampigie baba yake ampe hi, unaambiwa jamaa kesho yake akajongo. bro wangu mwingine alikuwa mgambo jkt tanga anakuambia maafande walikuwa wakifa sana na ngoma coz wanawarubuni mademu hawatawapangia kazi ngumu, basi ni kumega kwa kwenda mbele. anakwambia mademu wakipewa bukta na green vesti ya kijani km maafande walivyokuwa wakiziita,siku za kwanza wanaona aibu vibukta vifupi lkn kwata likishika hatamu wanazoea hata hawakumbuki tena ule ufupi. all in all sisi ambao hatukupitia gesh, tumekosa mambo mengi sana hata dada zetu wa siku hizi si wakakamavu tena
 
mademu wakipewa bukta na green vesti ya kijani km maafande walivyokuwa wakiziita,siku za kwanza wanaona aibu vibukta vifupi lkn kwata likishika hatamu wanazoea hata hawakumbuki tena ule ufupi. all in all sisi ambao hatukupitia gesh, tumekosa mambo mengi sana hata dada zetu wa siku hizi si wakakamavu tena
nimekugongea thenks mkuu,umenikumbusha GREEN VEST YA KIJANI!!!
 
Naukumbuka uwanja wa damu pale makutupora. Mwendo wa kunyakua usawa wa gudulia . . . utakula kwa jasho lako mwenyewe! Nakumbuka kwenda porini "kukata" kuni bila panga wala shoka. Na lazima urudi na kuni zilizokatwa. Na zilkuwa zinakatwa kweli na kuepelekwa kwenye Coy bila panga wala shoka . . . akil kichwani! Nakumbuka ile mitunduru. . . kujongu mbele kwa mbele. Bigula likilia tu ... haooo mitunduruni! Nakumbuka disko a.k.a chenja: mara ya kwanza nilidhani ni disco la kweli kumbe ni kwenda kuimba nyimbo za kijeshi mpaka usiku kati. Jeshi acha bwana! Aliyelifuta amefuta kitu cha thamani.
 
wakuu hvi matondo yupo? afande kindipundipo je?

zile zabibu na nyanya bado zipo ?
 
Back
Top Bottom