ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
JF
Nafungua mjadala wetu hasa tuliopita JKT miaka ile ya 90. ni kukumbushana tu na kutafutana tupo wapi - Kifupi mimi nilikuwa mlinzi wa kuni pake makutu na jamaa mmoja myamwezi wa sikonge kwenye kile kibanda chetu pale.
Kwa wana Makutu hasa D. Coy mnamkumbuka Matondo au shemeji? na je mnakumbuka misemo hii
1. Doso kafie kwenu
2. Kindipundipu
3. Usawa wa Guduria
4. Mzakwe ( kwa wale walikuwa wanapiga mnazi wa dodoma)
5. Kupiga Tosi
6. Kichele
7. Mitunduruni
8. Madikokiko
9. Kupiga Burst
10. Kalinye-Kalinye
11. Songombingo
12. Kujongo
13. Kurutuuuuuuu...
Misemo hii ina ilikuwa na maana yake, kwa wale waliopitia Makutu watafurahi na wanayo mingi
Jamani tukumbushane enzi zile za kina afande Mwiba, Zimwi etc mfano palikuwa hapatoshi kama unajongo (unatoroka) then ukutane na Zimwi ha ha ha
Manake ataanza Kalinye-kalinye then songombingo harafu anamalizia na doso kafie kwenu...nafikiri ukitoka hapo hutatamani kula
Nafungua mjadala wetu hasa tuliopita JKT miaka ile ya 90. ni kukumbushana tu na kutafutana tupo wapi - Kifupi mimi nilikuwa mlinzi wa kuni pake makutu na jamaa mmoja myamwezi wa sikonge kwenye kile kibanda chetu pale.
Kwa wana Makutu hasa D. Coy mnamkumbuka Matondo au shemeji? na je mnakumbuka misemo hii
1. Doso kafie kwenu
2. Kindipundipu
3. Usawa wa Guduria
4. Mzakwe ( kwa wale walikuwa wanapiga mnazi wa dodoma)
5. Kupiga Tosi
6. Kichele
7. Mitunduruni
8. Madikokiko
9. Kupiga Burst
10. Kalinye-Kalinye
11. Songombingo
12. Kujongo
13. Kurutuuuuuuu...
Misemo hii ina ilikuwa na maana yake, kwa wale waliopitia Makutu watafurahi na wanayo mingi
Jamani tukumbushane enzi zile za kina afande Mwiba, Zimwi etc mfano palikuwa hapatoshi kama unajongo (unatoroka) then ukutane na Zimwi ha ha ha
Manake ataanza Kalinye-kalinye then songombingo harafu anamalizia na doso kafie kwenu...nafikiri ukitoka hapo hutatamani kula