kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mafunzo ya JKT yanalenga kuwanufaisha Watanzania waweze kuilinda nchi yao. Lakini napenda kuwapa alert JKT, JWTZ na POLISI kwamba mmevamiwa na hii nikutokana na kukosa umakini katika kusajili askiri.
Wapo vijana zaidi ya mia mbili wameingia kwenye vyombo vyetu nyeti baada ya kufunguliwa kwa milango ya JKT, wengi wao wamebadili majina ya ukoo na wazazi wao walifanikiwa kuwatengenezea vyeti vya kuzaliwa vya kuthibitisha wamezaliwa DAr, Arusha, Kilimanjaro, Morogoro na Mbeya na kupitia njia hiyo hakuna aliyewatilia mashaka.
Hivi vyombo vyetu vinajua kwamba wageni walioingia baada ya machafuko ya nchi jirani miaka ya nyuma sana walisajiliwa mashuleni Tanzania? Wanajua kwamba walifaulu na kuendelea na masomo? Wanajua kuwa watoto na wajukuu wa wageni hao wapo kwenye ajira serikalini? Au wanadhani wageni hawasomeshi watoto wao hapa Tanzania?Je hao watoto Kama wamesoma hawakupelekwa JKT? Kama walikwenda hawakupangiwa kwenye vyombo vya ulinzi? Kama walipangwa tunaamini ni wazalendo kwa nchi hii? Kama siyo wazalendo ni wazalendo wa nchi gani Kama siyo nchi zao za asili?
Je, walipoendesha zoezi la vyeti feki hawakufanikiwa kuwaza kuwa kuna Watanzania mamluki kwenye utumishi wa umma? Kama wapo na wapo sekta nyeti walifanywa Nini? Je, Kama hawakufanywa chochote hawajaingiza watoto wao na watoto wa ndugu zao? Siku akitokea mtu akataka kuwachekecha hayatatokea tunayoyaona S.Afrika?
Tunaweza tukawalaumu S. Afrika lakini na sisi tunatengeneza bomu kupitia mifumo yetu ya mafunzo ya kijeshi ( tunaaandaa wanajeshi bila kuwapa ajira) lakini pia tumewajaza kwenye utumishi wa umma kwa sababu hatuchuji Nani aingie humo.
Wanaoelewa maana ya ulinzi wa nchi wataelewa maana ya kumjua mtu unayemkabidhi utumishi wa umma na nafasi ya kisiasa..S.Afrika wakimalizana sisi tutaanza kutafunana kwa sababu wasio Watanzania wamekabidhiwa dhamana ya Watanzania na Watanzania wamekabidhiwa dhamana ya kuwalipa mshahara wasio Watanzania.
XENOPHOBIA NI UZEMBE WA TAWALA
Wapo vijana zaidi ya mia mbili wameingia kwenye vyombo vyetu nyeti baada ya kufunguliwa kwa milango ya JKT, wengi wao wamebadili majina ya ukoo na wazazi wao walifanikiwa kuwatengenezea vyeti vya kuzaliwa vya kuthibitisha wamezaliwa DAr, Arusha, Kilimanjaro, Morogoro na Mbeya na kupitia njia hiyo hakuna aliyewatilia mashaka.
Hivi vyombo vyetu vinajua kwamba wageni walioingia baada ya machafuko ya nchi jirani miaka ya nyuma sana walisajiliwa mashuleni Tanzania? Wanajua kwamba walifaulu na kuendelea na masomo? Wanajua kuwa watoto na wajukuu wa wageni hao wapo kwenye ajira serikalini? Au wanadhani wageni hawasomeshi watoto wao hapa Tanzania?Je hao watoto Kama wamesoma hawakupelekwa JKT? Kama walikwenda hawakupangiwa kwenye vyombo vya ulinzi? Kama walipangwa tunaamini ni wazalendo kwa nchi hii? Kama siyo wazalendo ni wazalendo wa nchi gani Kama siyo nchi zao za asili?
Je, walipoendesha zoezi la vyeti feki hawakufanikiwa kuwaza kuwa kuna Watanzania mamluki kwenye utumishi wa umma? Kama wapo na wapo sekta nyeti walifanywa Nini? Je, Kama hawakufanywa chochote hawajaingiza watoto wao na watoto wa ndugu zao? Siku akitokea mtu akataka kuwachekecha hayatatokea tunayoyaona S.Afrika?
Tunaweza tukawalaumu S. Afrika lakini na sisi tunatengeneza bomu kupitia mifumo yetu ya mafunzo ya kijeshi ( tunaaandaa wanajeshi bila kuwapa ajira) lakini pia tumewajaza kwenye utumishi wa umma kwa sababu hatuchuji Nani aingie humo.
Wanaoelewa maana ya ulinzi wa nchi wataelewa maana ya kumjua mtu unayemkabidhi utumishi wa umma na nafasi ya kisiasa..S.Afrika wakimalizana sisi tutaanza kutafunana kwa sababu wasio Watanzania wamekabidhiwa dhamana ya Watanzania na Watanzania wamekabidhiwa dhamana ya kuwalipa mshahara wasio Watanzania.
XENOPHOBIA NI UZEMBE WA TAWALA