Nije moja kwa moja kwenye mada,
JKT walitangaza vijana waliomaliza kidato cha SITA kujiunga na mafunzo ya JKT kwa MJIBU WA SHERIA.
JKT walitoa maelekezo vitu wanavyopata kuwa navyo watoto, ajabu unamnunulia Mtoto hivo vifaa walivyotaja wao, baada ya Mtoto kufika kambini anakutana na vitu vingine vya kununua kama buti, begi, nk. Kwa nini hivi vitu visitajwe ama kuorodheshwa moja Kwa moja?
Fikiria Mtoto ametoka Dar au Mbeya kwenda Kanembwa ni zaidi ya laki kadhaa, mzazi amejipiga piga alafu anafika kambini anakutana tena na kutakiwa kununua vifaa vingine.
Baada ya miezi miwili anatakiwa kurudi nyumbani Kwa ajili ya kuja kufanya maombi ya kujiunga na chuo kikuu.
Serikali ama ikubali kugharamia haya mafunzo au yaondolewe, sipingi kuwepo mafunzo napinga gharama anazoingia mzazi ili kufanikisha hili jambo
JKT walitangaza vijana waliomaliza kidato cha SITA kujiunga na mafunzo ya JKT kwa MJIBU WA SHERIA.
JKT walitoa maelekezo vitu wanavyopata kuwa navyo watoto, ajabu unamnunulia Mtoto hivo vifaa walivyotaja wao, baada ya Mtoto kufika kambini anakutana na vitu vingine vya kununua kama buti, begi, nk. Kwa nini hivi vitu visitajwe ama kuorodheshwa moja Kwa moja?
Fikiria Mtoto ametoka Dar au Mbeya kwenda Kanembwa ni zaidi ya laki kadhaa, mzazi amejipiga piga alafu anafika kambini anakutana tena na kutakiwa kununua vifaa vingine.
Baada ya miezi miwili anatakiwa kurudi nyumbani Kwa ajili ya kuja kufanya maombi ya kujiunga na chuo kikuu.
Serikali ama ikubali kugharamia haya mafunzo au yaondolewe, sipingi kuwepo mafunzo napinga gharama anazoingia mzazi ili kufanikisha hili jambo