Kwa wale waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wanajua fika faida ya jeshi hilo kwa nchi yetu.
Nina mawazo kuwa kuwe na kipengele katika katiba mpya ikisisitiza kuwa ni wajibu kwa kila mtanzania aliyefikisha miaka kumi na minane na kuendelea awe amepata mafunzo haya.
Hii itasaidia sana kwa vijana kuwa na fikra za kizalendo na pia kila mtanzania atakuwa tayari kujihami kwa lolote lile kwani kumkabili adui si lazima uwe na silaha, na hata katika kujiokoa kwahitaji mbinu za medani.
Huenda hii mada imeshaletwa jamvini kama tayari mnisamehe bure!
Nina mawazo kuwa kuwe na kipengele katika katiba mpya ikisisitiza kuwa ni wajibu kwa kila mtanzania aliyefikisha miaka kumi na minane na kuendelea awe amepata mafunzo haya.
Hii itasaidia sana kwa vijana kuwa na fikra za kizalendo na pia kila mtanzania atakuwa tayari kujihami kwa lolote lile kwani kumkabili adui si lazima uwe na silaha, na hata katika kujiokoa kwahitaji mbinu za medani.
Huenda hii mada imeshaletwa jamvini kama tayari mnisamehe bure!