Weekend hii yupo Brussels!
GreaTtHinkers,
Kama ilivyozoeleka kuwa yeye ni Mzee wa Int. Trips mnadhani ataanzia nchi gani safari hii?:target:
Nadhani kituko cha kuanzia itakuwa serikali yake kununua mitambo yake na akina lowasa,rostam,,,ya richmond kwani baada tu ya uchaguzi ndipo umeme unakuwa hautoshi..........km hamuamini kaeni kimya muone