Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Wakuu,
Nimemsikia JK akitoa kauli hii jana wakati akihutubia kwenye hafla ya kutangazwa pale Karimjee na leo kwenye sherehe ya kuapishwa pale uwanja wa uhuru.
Na kuna mahali kwenye hotuba ya leo amesema ziko hoja za kidini zilizotolewa majukwaani na wanasiasa ambazo zimeleta mpasuko hivyo akavisihi vyombo vya habari visaidie kutibu majeraha na mpasuko huo.
Wote tunakumbuka hizi hoja kuhusu udini na ukabila zilishikiwa bango na kufanywa mtaji wa ccm majukwaani. Sasa hii ina maana JK anakiri ule ulikuwa ni mkakati wa kampeni au na je vyombo vya habari vitawezaje kuziba ufa huu,
Nawakilisha.
Nimemsikia JK akitoa kauli hii jana wakati akihutubia kwenye hafla ya kutangazwa pale Karimjee na leo kwenye sherehe ya kuapishwa pale uwanja wa uhuru.
Na kuna mahali kwenye hotuba ya leo amesema ziko hoja za kidini zilizotolewa majukwaani na wanasiasa ambazo zimeleta mpasuko hivyo akavisihi vyombo vya habari visaidie kutibu majeraha na mpasuko huo.
Wote tunakumbuka hizi hoja kuhusu udini na ukabila zilishikiwa bango na kufanywa mtaji wa ccm majukwaani. Sasa hii ina maana JK anakiri ule ulikuwa ni mkakati wa kampeni au na je vyombo vya habari vitawezaje kuziba ufa huu,
Nawakilisha.