Nadhani kila mmoja ameona mapungufu ya ujumla ya baraza la mawaziri, hivyo kitendo cha Wabunge kutaka mawaziri 8 tu kujiuzulu si cha maana kwa mazingira ya sasa.
kama jk anataka mabadiliko ya kiutendaji wa baraza la mawaziri basi hana budi kuvunja baraza lote la mawaziri na kuunda tena na si kuweka viraka viraka.
kama jk anataka mabadiliko ya kiutendaji wa baraza la mawaziri basi hana budi kuvunja baraza lote la mawaziri na kuunda tena na si kuweka viraka viraka.