JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Haya nilipo umeme umeshalaza mpaka kesho asubui alafu eti jana Gamba kuu anasema tutaiuzia south africa umeme.hahahaha siasa bwana naitamani sana ila naogopa kuwa muongo wa waziwazi yani kuahidi kuwa na umeme wa kututosha mpaka kuiuzia south africa au nchi nyingine umeme ni sawa na kuahidi mabomba kutoa maziwa nchi nzima