S Shadow JF-Expert Member May 19, 2008 2,897 671 Feb 22, 2011 #1 Leo Abidjan: Kama anasema ' mzee mzima nilikubipu kupitia kwa Membe... Sisi ni kitu kimoja....haina maana tugombane'
Leo Abidjan: Kama anasema ' mzee mzima nilikubipu kupitia kwa Membe... Sisi ni kitu kimoja....haina maana tugombane'
Mvaa Tai JF-Expert Member Aug 11, 2009 6,159 4,443 Feb 22, 2011 #3 Hivi ameenda kufanya nini? au kaenda kuongeza ujuzi wa kuongoza nchi bila idhini ya wananchi?
M Marytina JF-Expert Member Jan 20, 2011 9,281 7,126 Feb 22, 2011 #4 ameenda kumwambia aanzishe swala la udini na kwamba dini flani haimtakii mema ili atawale milele yeye,mkewe na wanae
ameenda kumwambia aanzishe swala la udini na kwamba dini flani haimtakii mema ili atawale milele yeye,mkewe na wanae
HISIA KALI JF-Expert Member Oct 26, 2010 694 108 Feb 22, 2011 #6 Hivi ni nani analipa hizi gharama za Rais kwenda kwenye mikutano kama hii?
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Feb 22, 2011 #7 HISIA KALI said: Hivi ni nani analipa hizi gharama za Rais kwenda kwenye mikutano kama hii? Click to expand... kodi yako mtu mzma
HISIA KALI said: Hivi ni nani analipa hizi gharama za Rais kwenda kwenye mikutano kama hii? Click to expand... kodi yako mtu mzma
Iramusm JF-Expert Member Nov 16, 2009 509 314 Feb 22, 2011 #8 Mi pia najiuliza jamani,nini malengo ya hiyo ziara? wenye taarifa plz
jino kwa jino JF-Expert Member Nov 3, 2010 783 169 Feb 22, 2011 #9 wanafanana sana kama watoto wa mama mmoja, ila baba tofauti
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Feb 22, 2011 #11 jino kwa jino said: wanafanana sana kama watoto wa mama mmoja, ila baba tofauti Click to expand... wala hakuna utofauti, utofauti ni rangi tu
jino kwa jino said: wanafanana sana kama watoto wa mama mmoja, ila baba tofauti Click to expand... wala hakuna utofauti, utofauti ni rangi tu