eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Aslaaam,
Nimemkumbuka ndugu yangu JK akijinadi kuwa yeye ndio yeye na CCM ndio chama...
Wengine wooote ni mamluki wa msimu tuu mpaka uchaguzi... Sasa CHADEMA wameamua kumthibitishia uongo wake, naona kapagawa kabisa. Sasa anadai wanahatarisha amani. JK ni mwanasiasa lakini hasomi alama za nyakati alitumia jukwaaa kudanganya UMMA na sasa jukwaa hilo hilo linatumika kumkandamiza na kumkanisha maneno yake...
USHAURI:
Nadhani JK akikiri mbele ya UMMA kwa wingi wa watu uleule wa Pale jangwani tarehe 30 oktoba 2010 kuwa CHADEMA sio chama cha msimu, bila shaka CHADEMA watasitisha maandamano maana wameshakubalika kuwa chaguo la wengi la sivyo CHADEMA wataendelea kujinasibu kuwa wao sio wa msimu na wanawawaza wananchi siku zote..
Siku zote Wananchi wanapenda kutembelewa saana lakini JK alidhani CHADEMA hawawezi labda kwa sifa za kisiasa au kimajungu tuu... Lakini sasa naona keshapata woga kuwa CHADEMA ni ya watu kweli.. Kama hawapendwi yee atulie tuu na sii kukimbilia udini, woga, hotuba uchwara na sifa za kijinga.
Nawasilisha
Nimemkumbuka ndugu yangu JK akijinadi kuwa yeye ndio yeye na CCM ndio chama...
Wengine wooote ni mamluki wa msimu tuu mpaka uchaguzi... Sasa CHADEMA wameamua kumthibitishia uongo wake, naona kapagawa kabisa. Sasa anadai wanahatarisha amani. JK ni mwanasiasa lakini hasomi alama za nyakati alitumia jukwaaa kudanganya UMMA na sasa jukwaa hilo hilo linatumika kumkandamiza na kumkanisha maneno yake...
USHAURI:
Nadhani JK akikiri mbele ya UMMA kwa wingi wa watu uleule wa Pale jangwani tarehe 30 oktoba 2010 kuwa CHADEMA sio chama cha msimu, bila shaka CHADEMA watasitisha maandamano maana wameshakubalika kuwa chaguo la wengi la sivyo CHADEMA wataendelea kujinasibu kuwa wao sio wa msimu na wanawawaza wananchi siku zote..
Siku zote Wananchi wanapenda kutembelewa saana lakini JK alidhani CHADEMA hawawezi labda kwa sifa za kisiasa au kimajungu tuu... Lakini sasa naona keshapata woga kuwa CHADEMA ni ya watu kweli.. Kama hawapendwi yee atulie tuu na sii kukimbilia udini, woga, hotuba uchwara na sifa za kijinga.
Nawasilisha