JK Rais wangu sijui nani atakufikishia huu ujumbe.........!!!!!!!!unakumbuka maneno matamu ambayo ulikuwa unasema mbele ya wapigakula na wagonjwa wa hospitali yetu ....tunaiita ya taifa japo mie binafsi sioni hilo kutokana na mifumo iliyopo hapo,,,,mazingira machafu,,,,,,,wafanya kazi wamejaa ubabe......wanafanya kazi kwa sababu tu wameajiriwa hapo,,,,,,,uongozi wa juu upo kimaslahi binafsi zaidi kwani hatuoni mabadiriko yoyote ambayo yanatokea sijui hata hapo watakapo anzisha hiyo huduma ya upasuaji wa moyo........mungu atujarie tusiumwe moyo kwani nalazimishwa kuamini kuwa wagonjwa watakao kuwa under knife kupona kwao ni majariwa na sio juhudi binafsi za madactari
nirudi katika mada yangu napenda kukwambia kikwete ule ukarabati ambao ulisema ufanyike ili chumba cha CT SCAN kifanane na hali halisi ya thamani ya mashine vilevile ni njia mojawapo ya kuitunza mashine na vitu kama vumbi haujafanyika .....nakumbuka katika mazungumzo yako ni kwamba kama nilielewa vibaya ulisema utagharamia vile kama sio ikulu naomba kama wana jf au any body wamfikishie habari hizi yawezekana mheshimiwa alitoa pesa afu ndg zetu wakachakachua kwani sasa almost mwaka vile nimerudi kufanya kipimo sijaona mabadiriko
asante mungu akulinde kikwete
n[/FONT]:dance:
nirudi katika mada yangu napenda kukwambia kikwete ule ukarabati ambao ulisema ufanyike ili chumba cha CT SCAN kifanane na hali halisi ya thamani ya mashine vilevile ni njia mojawapo ya kuitunza mashine na vitu kama vumbi haujafanyika .....nakumbuka katika mazungumzo yako ni kwamba kama nilielewa vibaya ulisema utagharamia vile kama sio ikulu naomba kama wana jf au any body wamfikishie habari hizi yawezekana mheshimiwa alitoa pesa afu ndg zetu wakachakachua kwani sasa almost mwaka vile nimerudi kufanya kipimo sijaona mabadiriko
asante mungu akulinde kikwete
n[/FONT]:dance: