Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Nimejiuliza maswali mengi sana juu ya kukataliwa kwako na Dr.Ulimboka ile alhamisi mchana ulipotuma maafisa wako wa ikulu wapeleke taarifa kuwa unataka kwenda kumuona na kakakukatalia..
Bila shaka umejifunza kuwa sio mara zote una deal na watu wenye akili na mawazo mepesi ....hii itakuwa imekuumiza sana ..pia kwa madaktari kukataa msaada wa serikali kwenda kumtibu Dr.Ulimboka nayo pia itakuwa imekufadhaisha sana....
kwa kifupi ni KUWA HUPENDWI NA WATU WAMECHOKA NA MATENDO YAKO YA HOVYO NA YA KINAFIKI YANAYOFANYWA NA SERIKALI YAKO...
sasa na mimi mnitafute mning'oe kucha na meno kwa koleo....ulidhani urais ni kama udiwani....
Bila shaka umejifunza kuwa sio mara zote una deal na watu wenye akili na mawazo mepesi ....hii itakuwa imekuumiza sana ..pia kwa madaktari kukataa msaada wa serikali kwenda kumtibu Dr.Ulimboka nayo pia itakuwa imekufadhaisha sana....
kwa kifupi ni KUWA HUPENDWI NA WATU WAMECHOKA NA MATENDO YAKO YA HOVYO NA YA KINAFIKI YANAYOFANYWA NA SERIKALI YAKO...
sasa na mimi mnitafute mning'oe kucha na meno kwa koleo....ulidhani urais ni kama udiwani....