zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Hivi karibuni mheshimiwa anaeondoka madarakani aliwahutubia wananchi wa songea kuwa kuna watu wanataka kutumia maiti za wananchi kama ngazi kuingia ikulu, nimetafakari kwa mda mrefu kauli hiyo sasa nimeng'amua kuwa JK ndo anaetaka kutumia maiti za walala hoi wa nchi hii kama ngazi za kumrudisha ikulu.
sasa yanatimia yale yaliyotamkwa!! serikali na tume wanahusika moja kwa moja.
sasa yanatimia yale yaliyotamkwa!! serikali na tume wanahusika moja kwa moja.