Kuna mchina mmoja alisema watanzania ni rahsi sana kuwahonga,imeonekana wazi maneno ya huyu mchina yalikuwa sawa kabisa kwa sababu rais mwenyewe anahongeka kwa suti,vp watu wengine? Ni aibu,eti wanakanusha,hawataweza kumsafisha hata wangekuwa wanafanya pres conference kila siku kukanusha.Sisomi kitabu cha kumsifu mtu anayehongwa koti na suruali