JK Try to be Serious.....

Bill

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
8,233
8,431
Wale waliofuatilia pale JK alipoongea na wahariri wakuu na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mtakubaliana na mimi kuwa JK hajawa serious katika kushughulikia kero zinazowakabiri waTZ, alikuwa akitoa majibu mepesi, alitumia muda mwingi kuelezea suala la Rada ambalo hivi karibuni linatarajiwa kufikishwa mahakamani mara mhusika akipatikana. Ina maana mpaka aliongelee hilo ameshajiridhisha kuwa huyu jamaa ni mharifu hata kabla mahakama haijamkuta na hatia.

Mimi sijapata chochote katika hotuba yake ambacho kingesaidia kuchochea ukuaji wa uchumi ulioimara na endelevu.

Namuona JK ni kama hajafahamu vipaombele vya nchi na wananchi wake.

Hebu tuuchambue mkutano wa JK na Wahariri!
 
Yaani alimega pozi kama raisi atokaye nchi tajiri ambayo haina matatizo ya aina yoyote yale.
Alafu kucheka ni from the beginning to the end.

Anway ladba ndo hulka yake iyo but otherwise niliboreka
 
You voted for a handsome man for this office now why cry ? Hebu Mtoto wa Mkulima na aseme na hapa pia .

Anaongelea ambalo anajua ni jepesi na hasa baada ya mhindi kufungwa kengele je makubwa kama ya BOt anasemaje ?
 
Unajuia mimi ndio maana nasema tunahitaji radical changes.System nzima ya uongozi iko corrupted.Imagine president kwenye press conference analeta usanii.Watanzania tumechoka,kwa nini kila wakati anasema list ya mazungu wa unga anayo lakini hachukui action? We need an effective government.I'm out!
 
Alichaguliwa kwa nguvu za giza, usanii na nguvu ya rushwa na siasa za kupakana matope , hakuwa na agenda ya kwa nini aliutaka uraism ila alitaka kukamilisha ndoto yake ya kuwa Rais .Leo hii unategemea kisha kuwa mfalme anaweza kuwa na agenda? Itabidi aige namna Mwalimu alivyokuwa anaongea na kucheka akidhani ndiyo atawakoga wadanganyika .
 
Unajuia mimi ndio maana nasema tunahitaji radical changes.System nzima ya uongozi iko corrupted.Imagine president kwenye press conference analeta usanii.Watanzania tumechoka,kwa nini kila wakati anasema list ya mazungu wa unga anayo lakini hachukui action? We need an effective government.I'm out!

Hii ndiyo thamani ya kuwa na ''vyama vingi''visivyo na sauti. Hata mwaka 2010 tutaendelea kuwa na ''Sura nzuri'' hata kama JK hatajirekebisha.

Zama tulizonazo ni za kuchagua chama na si mtu, ilimradi tu chama fulani kipate madaraka ya kuiongoza serikali.sijui tunaelekea wapi!!! Hii ndiyo demokrasia??
 
Alichaguliwa kwa nguvu za giza, usanii na nguvu ya rushwa na siasa za kupakana matope , hakuwa na agenda ya kwa nini aliutaka uraism ila alitaka kukamilisha ndoto yake ya kuwa Rais .Leo hii unategemea kisha kuwa mfalme anaweza kuwa na agenda? Itabidi aige namna Mwalimu alivyokuwa anaongea na kucheka akidhani ndiyo atawakoga wadanganyika .
ukweli pa say
 
Kama kuna Prezidee ambaye anapuuza maoni ya waliomchangua basi JK yupo on top, lakini anajiamini nini huyu mtu waungwana? Au ndio WADANGANYIKA, just: kapelo + kanga = easy second term.
Coz naamini atasimama tena 2010.

Kweli zimwi likujualo halikuli likakwisha, lakini hili la CCM hata mfupa hautoonekana soon.
 
Mh, jamani mmeongea mengi kuhusu Presdent JK,Lakini kumbukeni kuwa yeye ni kama mchezaji yuko uwanjani kwahiyo siyo rahisi kujua kama anakosea na hakuna kitu kigumu kama kuongoza watu ni fadhali ukalime utajua nimelima kipande cha meta ngapi leo,Anyway kwani washauri wake wako wapi na hao washauri huwa wanachaguliwa na nani na kwa sifa gani? Hivi kuna utaratibu wa wananchi kutoa ushauri kwa rais? na kama upo basi tutumie fursa hiyo kumshauri Rais wetu na haupo basi uwepo utaratibu wa wananchi kumshauri rais. Na ufike wakati tuwalaumu washauri wake na si JK peke yake.

NI MAWAZO TU JAMANI.
 
yaani mie kusema kweli nimeingia thread hii kwa ajili ya title yake tuu yani Jk atry kub serious...it means ni someone who can not or can never be serious maishani mwake hata katika kibarua chake!
kazi kucheka cheka tuuuu na ndani ya thread nikakua kichekesho kingine like the way anavyoongeaga kwa ma pozi hata akiwa nchi za nje ni as if Ka Bush flani hivi kamekuja Tz...full mipozi full kuuza sura na full kukunja kunja nne tuu!!
 
Questions from the Press are submitted well in advance, the President had all the time to prepare tangible and credible responces. Instead he chose to waste time by giving empty smiles and comments in issues that require leadership, wisdom and authority. Take the issue of building on the shoreline, he actually was wondering and seemed to fumble on the law. Gosh, where are we going?

I am failing to believe we still have eight years remaining with JK... Siamini kwa kweli.

And you experts in effective communications better tell me... What is the role of the Communications personnel: Salava Rweyemamu? How does he advice and prepare the President before the press? How do they explain the mannerisms (scratching of nose, throwing of hands etc) we see? These advisors to the President, are they really such inefficient or are they purposely leaving the President to hang, or is the President so self-fulfilling that he takes no one's advice?

This is a direct quote from a chapter in a book: Working Through Communication... Chapter 2 : Persuasion, structure and language devices; Page 22: "Avoiding speech mannerisms is a matter of thinking of how one appears to the listener and of
becoming aware of the clichés, tautologies, and “fillers” that have crept into one’s speech...Also annoying to audiences are non-verbal mannerisms such as grimaces, table tapping and pacing up and down the room..."

I guess someone is not doing their job properly...
 
Nafikiri the one who mentioned nguvu za giza zilitumika is right
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom