JK Towers, a recipe for conspiracy theories?

Ngereja

JF-Expert Member
Feb 27, 2007
798
333
Baada ya kashfa ya Richmond tulishuhudia vitu kama Richmod Towers n.k, katika pitapita yangu huku na kuko nimekutana na JK Towers. Je, JK ina simama badala ya nini? Je, ina uhusiano wowote na Rais wa Tanzania? Mmiliki wake ni nani? Je, ana uhusiano wowote na Richmond au EPA?. Tuanze na conspiracy theories kisha wenye data watuwekee ili tuchimbe zaidi. Naweka picha hii hapa,nimeitoa kwenye blog hii http://udadisi.blogspot.com/
06032008.jpg

Unaweza pata habari kuhusu JK Towers kutoka kwenye website yao http://www.jktower.com
 
Baada ya kashfa ya Richmond tulishuhudia vitu kama Richmod Towers n.k, katika pitapita yangu huku na kuko nimekutana na JK Towers. Je, JK ina simama badala ya nini? Je, ina uhusiano wowote na Rais wa Tanzania? Mmiliki wake ni nani? Je, ana uhusiano wowote na Richmond au EPA?. Tuanze na conspiracy theories kisha wenye data watuwekee ili tuchimbe zaidi. Naweka picha hii hapa,nimeitoa kwenye blog hii http://udadisi.blogspot.com/
06032008.jpg

Unaweza pata habari kuhusu JK Towers kutoka kwenye website yao http://www.jktower.com

...............................................................................
 
Hili ni jengo la gorofa kama 12 hivi. Nadhani linaweza pia likawa halitimizi masharti ya town planning kama ilivyokuwa lile la Masaki.
 
.....du mzee nimeliona..sasa sijui nafikiri watatuambia ni jana tu...hili jengo lipo karibu na ofisi za IMMMA......

msije mkasema ni la pesa za EPA mkataka na lenyewe likamatwe...guess what hilo jengo karibuni litabadilishwa jina au watangoa maandishi JK TOWERS
 
Forget about the JK speculations, these guys uphold the real estate mantra "location, location, location" but end up charging NYC prices for Upanga apartments, without giving as much as a picture or model?

They gotta do better for one to even dream of considering buying a 275,000 apartment.
 
Forget about the JK speculations, these guys uphold the real estate mantra "location, location, location" but end up charging NYC prices for Upanga apartments, without giving as much as a picture or model?

They gotta do better for one to even dream of considering buying a 275,000 apartment.

Not only that. There is absolutely no information about who is behind the whole development(the developers), the architects and yes, even a view of the damn thing! We are slowly but inexorably destroying our city!
 
Not only that. There is absolutely no information about who is behind the whole development(the developers), the architects and yes, even a view of the damn thing! We are slowly but inexorably destroying our city!

How about missing company information???
 
Mimi naikumbuka Upanga na Oysterbay ya miaka ileeee! Wakati ilikuwa garden city. Nyumba nyingi upanga zilikuwa za wafanyakazi wa serikali ambao walipata mikopo nafuu kuwawezesha kujenga miaka ya sitini! Leo, warithi wao na wao wenyewe wanaziuza na hawa developers uchwra tulionao waki'collude' na uchwara wenzao wa manispaa wanaharibu kabisa mazingira ya sehemu hizo! Kwa wenzetu, maendelezi kama haya yasingepitaa bila kuwekwa kwenye jukwaa la maoni ya wananchi. Sisi tunapwaga tu.Tunaruhusu maghorofa bila kuwekeza kwenye infrastucture na utilities nyingine. Leo zimamoto imekuwa biashara ya machinga na tunaendelea kujenga maghorofa!
Mungu alinusuru jiji letu!
 
Back
Top Bottom