mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,147
Wanajamvi heshima kwenu.
Baada ya kumsikia Mhe Mbunge H. Mnyaa Mnazimu wa kambi ya CUF Bungeni. Mjadala wa katiba Muswada kura ya maoni; Jinsi mhe Jakaya alivyo na dhamira njema anaweza akatwaa tuzo ya Moi Ibrahimu akiipatia Tanzania katiba mpya 2014
Nimetafakari kwa kina na kufanya tadhimini ya kina kama ataistahili.
Kwa kujiuliza na kuuliza Maswali mawili
1.Hastahili tuzo ya Mo akimaliza awamu yake kwasabu gani haswa?
MAJIBU
-Alisamehe wezi wa EPA waliorejesha fedha walizoiba HAKUWATAJA wala wasiorejesha HAWAJAKAMATWA
-Mauaji na kuteswa Dr, Wandishi wa Habari mfano Daudi Mwangosi WATUHUMIWA wakapandishwa cheo kabla havijatokea kauli liwalo na liwe
-Mauaji Arusha, Mabomu mikutano ya siasa, Gongo la mboto, Olasiti, tindikali Tanzania bado wahusika hawajakamatwa.
-Kauli tumechoka wapigwe tu
-Hatima ya Masakata ya RICHMOND, DOWANS
-Rushwa, Ufisadi na Kutowajibika taarifa za CAG
-Kuporomoka sana kwa elimu kuliko awamu zote.
ANASTAHILI
-Katiba mpya mbona hata Kenya wanayo tena bora
-
Nawe tadhimini yako
Baada ya kumsikia Mhe Mbunge H. Mnyaa Mnazimu wa kambi ya CUF Bungeni. Mjadala wa katiba Muswada kura ya maoni; Jinsi mhe Jakaya alivyo na dhamira njema anaweza akatwaa tuzo ya Moi Ibrahimu akiipatia Tanzania katiba mpya 2014
Nimetafakari kwa kina na kufanya tadhimini ya kina kama ataistahili.
Kwa kujiuliza na kuuliza Maswali mawili
1.Hastahili tuzo ya Mo akimaliza awamu yake kwasabu gani haswa?
MAJIBU
-Alisamehe wezi wa EPA waliorejesha fedha walizoiba HAKUWATAJA wala wasiorejesha HAWAJAKAMATWA
-Mauaji na kuteswa Dr, Wandishi wa Habari mfano Daudi Mwangosi WATUHUMIWA wakapandishwa cheo kabla havijatokea kauli liwalo na liwe
-Mauaji Arusha, Mabomu mikutano ya siasa, Gongo la mboto, Olasiti, tindikali Tanzania bado wahusika hawajakamatwa.
-Kauli tumechoka wapigwe tu
-Hatima ya Masakata ya RICHMOND, DOWANS
-Rushwa, Ufisadi na Kutowajibika taarifa za CAG
-Kuporomoka sana kwa elimu kuliko awamu zote.
ANASTAHILI
-Katiba mpya mbona hata Kenya wanayo tena bora
-
Nawe tadhimini yako