Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Wana JF, nimesikia sasa hivi kutoka TBC taifa kuwa Kikwete aka Vasco Dagama kuwa hajawahi kusema popote kuwa serikali yake itajenga barabara ya rami kuunganisha Arusha na Mara kupitia mbuga ya Serengeti. Amesema hayo akimwambia Zuma kuwa yeye ni mtu wa mazingara.
Mimi ninvyokumbuka ni kuwa alisema tajenga na alisema hata watu wasemaje yeye anawajali wananchi wake. wenye video ya hayo mambo tujuzeni tafadhali. nimesikitika sana kwa rais wetu kuwa mwongo. hii ni janja ya kuomba misaada.
naomba mwogozo wenu.
Mimi ninvyokumbuka ni kuwa alisema tajenga na alisema hata watu wasemaje yeye anawajali wananchi wake. wenye video ya hayo mambo tujuzeni tafadhali. nimesikitika sana kwa rais wetu kuwa mwongo. hii ni janja ya kuomba misaada.
naomba mwogozo wenu.