BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Huyu huyu JK ndiye aliyepinga wanafunzi kuruhusiwa kuendelea na shule mara baada ya kujifungua kwa sababu watoto wao wakilia nyumbani wakati mama zao wapo mashuleni basi maziwa ya mama zao yatakuwa yanatiririka!!!! Sasa maziwa kutiririka na kupata elimu wapi na wapi!!!!? Ni unafiki tu.