JK, RA, EL, hawa watatu nawajua, lakini double P, no!

Mchekechoni

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
279
19
Nimebahatika kwa nyakati tofauti kujumuika na wote watatu kila mmoja kwa wakati wake, (RA,JK,EL) na hata wewe ukibahatika kuwa nao utagundua kitu fulani ambacho ni common miongoni mwao, they like to laugh and crack a few jokes now and then. But, about double P (son of a peasant) huyu cmjui na kwa kweli hafit kabisa kwenye hii timu ya mafiga matatu. Jambo moja la muhimu sana ambalo wapinga ufisadi limewapita kando, ni kuwa EL alipokuwa PM, ndiye aliyekuwa anaprovide check & balance btwn RA na JK, ila kwa kuwekwa kando baada ya Richmond scandal, kumempa RA full control over JK, hali ambayo inafanya serikali yote ionekane ya kifisadi machoni pa jamii.
 
Nimebahatika kwa nyakati tofauti kujumuika na wote watatu kila mmoja kwa wakati wake, (RA,JK,EL) na hata wewe ukibahatika kuwa nao utagundua kitu fulani ambacho ni common miongoni mwao, they like to laugh and crack a few jokes now and then. But, about double P (son of a peasant) huyu cmjui na kwa kweli hafit kabisa kwenye hii timu ya mafiga matatu. Jambo moja la muhimu sana ambalo wapinga ufisadi limewapita kando, ni kuwa EL alipokuwa PM, ndiye aliyekuwa anaprovide check & balance btwn RA na JK, ila kwa kuwekwa kando baada ya Richmond scandal, kumempa RA full control over JK, hali ambayo inafanya serikali yote ionekane ya kifisadi machoni pa jamii.

Good una-maan EL alikuwa Fisadi anayeuma na kupuliza, inawezekana kwa vile alikuwa anataka U-rais kwahiyo hakutaka aonekane mbaya mbele ya Jamii; Kosa lilifanyika ni kuondoka kwake bila impacts, yaani bila mabadiliko sahihi ilitakiwa kuondoka kwake kumzoe na RA hadi jela hapo positive impact ingepatikana
 
Back
Top Bottom