Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Nimebahatika kwa nyakati tofauti kujumuika na wote watatu kila mmoja kwa wakati wake, (RA,JK,EL) na hata wewe ukibahatika kuwa nao utagundua kitu fulani ambacho ni common miongoni mwao, they like to laugh and crack a few jokes now and then. But, about double P (son of a peasant) huyu cmjui na kwa kweli hafit kabisa kwenye hii timu ya mafiga matatu. Jambo moja la muhimu sana ambalo wapinga ufisadi limewapita kando, ni kuwa EL alipokuwa PM, ndiye aliyekuwa anaprovide check & balance btwn RA na JK, ila kwa kuwekwa kando baada ya Richmond scandal, kumempa RA full control over JK, hali ambayo inafanya serikali yote ionekane ya kifisadi machoni pa jamii.