JK, Pombe, Mwakyembe VS Rostam Aziz (Estim Construction)

chidide

Member
Nov 11, 2010
91
9
Je hii ni Vita mpya inayokuja:

Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:

Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio inayoongoza kwa kupewa deals nyingi na Wizara ya Ujenzi toka enzi za mzee wa vijisenti?
Inasemekana Pombe alikuwa anapigwa vita na mtandao asirudi ujenzi ili waendelee kuzifaidi fwedha za Ujenzi. Ni nani alikuwa anaifahamu kampuni ya Estim mpaka 2005? Je ilipataje deal la ujenzi wa kitega uchumi na UVCCM?
JK amemuweka Mwakyembe pale ili amsaidie Pombe kunyang'anya kazi zote za Estim zilizopatikana kimagendo?
Naomba mchango!
 
Je hii ni Vita mpya inayokuja:

Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:

Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio inayoongoza kwa kupewa deals nyingi na Wizara ya Ujenzi toka enzi za mzee wa vijisenti?
Inasemekana Pombe alikuwa anapigwa vita na mtandao asirudi ujenzi ili waendelee kuzifaidi fwedha za Ujenzi. Ni nani alikuwa anaifahamu kampuni ya Estim mpaka 2005? Je ilipataje deal la ujenzi wa kitega uchumi na UVCCM?
JK amemuweka Mwakyembe pale ili amsaidie Pombe kunyang'anya kazi zote za Estim zilizopatikana kimagendo?
Naomba mchango!

Tafadhali usiandike lolote bila kuwa na taarifa sahihi. Estim sio kampuni ya Rostam, labda ungeongelea CASPIAN. Estim inahusishwa na Patel wa MM Steel.
 
sasa thread tayari ina mapungufu......so what next kuna haja ya kuchangia hapo?
 
Je hii ni Vita mpya inayokuja:

Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:

Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio inayoongoza kwa kupewa deals nyingi na Wizara ya Ujenzi toka enzi za mzee wa vijisenti?
Inasemekana Pombe alikuwa anapigwa vita na mtandao asirudi ujenzi ili waendelee kuzifaidi fwedha za Ujenzi. Ni nani alikuwa anaifahamu kampuni ya Estim mpaka 2005? Je ilipataje deal la ujenzi wa kitega uchumi na UVCCM?
JK amemuweka Mwakyembe pale ili amsaidie Pombe kunyang'anya kazi zote za Estim zilizopatikana kimagendo?
Naomba mchango!

The assumptions you have extended need to be backed by facts , otherwise I strongly belive that, the argument itself is fallacious.
 
mind u, ile nyumba ya JK pale ikocheni ina jengwa na estim, pia ile ikulu ya msoga inajengwa na estim, usisahau pia barabra ya msata bagamoyo :whoo:
 
hawamuweza Rostam hata wafanyeje..ukitaka kujua kwa nini hawamuwezi muulize Samuel Sitta atakusimulia vizuri ....
 
hawamuweza Rostam hata wafanyeje..ukitaka kujua kwa nini hawamuwezi muulize Samuel Sitta atakusimulia vizuri ....
Asiyewezekanika ni Mungu tu kaka acha kuabudu watu ,kwa nini asiwezekanike huyo RA au kwa kuwa ana vijisenti?kama serikali ikiamua hakuna aliye juu ya sheria ,Kikwete akiamua kumshughulikia hana haja ya kuwatafuta akina Mwakyembe au Magufuli si hao wote ni wateuliwa wake
 
kusema ukweli kazi ya estim ni nzuri na nisingependa wanyang'anywe simply because of chuki au siasa

gademu
 
Asiyewezekanika ni Mungu tu kaka acha kuabudu watu ,kwa nini asiwezekanike huyo RA au kwa kuwa ana vijisenti?kama serikali ikiamua hakuna aliye juu ya sheria ,Kikwete akiamua kumshughulikia hana haja ya kuwatafuta akina Mwakyembe au Magufuli si hao wote ni wateuliwa wake

angekuwa rais Dr.Slaa ningeelewa anachozungumza lakini kwa JK Rostam ni mungu na ndo ataendelea kushika remote control ya magogoni mpaka JK amalize muda wake
 
Je hii ni Vita mpya inayokuja:

Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:

Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio inayoongoza kwa kupewa deals nyingi na Wizara ya Ujenzi toka enzi za mzee wa vijisenti?
Inasemekana Pombe alikuwa anapigwa vita na mtandao asirudi ujenzi ili waendelee kuzifaidi fwedha za Ujenzi. Ni nani alikuwa anaifahamu kampuni ya Estim mpaka 2005? Je ilipataje deal la ujenzi wa kitega uchumi na UVCCM?
JK amemuweka Mwakyembe pale ili amsaidie Pombe kunyang'anya kazi zote za Estim zilizopatikana kimagendo?
Naomba mchango!



Kwa wale ambao ni wadau katika Construction Industry watakuwa wanajua kwanini Estim anapewa kazi nyingi na wizara ya ujenzi. Kwa ufupi kwa sasa Estim ndiye mkandarasi mkubwa ambaye anaweza kushindana na kampuni kama Konoike, Kajima, Kalafi, CRJE, CHICO you name it! Ana uwezo wa kufanya kazi na amedhiirisha pasipo shaka kwa ile miradi aliyofanya so far! Kwa yule asiyejua, miradi ya wizara ya Ujenzi ni mikubwa sana (xx/xxx Billions) hivyo kampuni nyingi za kitanzania huwa hazitimizi hata masharti ya Tender ndiyo maana tumezoea kuona Contractors wakigeni wakifanya miradi yote mikubwa! Na hii ndiyo sababu ya kubwa ya Estim kupata kazi nyingi na ataendelea kupata nyingine nyingi kwasababu washindani wake wakubwa si LOCAL CONTRACTORS.
 
Kwani Estim kashindwa kazi mahali? Mbona hamzilaumu hizo kampuni za kichina ambazo zinashindwa kukamilisha mikataba?

Amandla......
 
Kwani Estim kashindwa kazi mahali? Mbona hamzilaumu hizo kampuni za kichina ambazo zinashindwa kukamilisha mikataba?

Amandla......

Nani aliyejenga barabara ya kurasini ambayo kwa sasa imezeeka na haitamanishi? Estim au? hivi Kajima wapo au wajanja wanatumia jina lao tuu?
 
Jamani sultani hawezi kusimamia nidhamu akipewa demu analegea ra alishampatia cousin wake na jamaa amekufa pale yule dada akimweka kwenye mapaja tuuu rostam anaibuka na tenda kwa hiyo mpaka katiba ibadilike ndiyo ra ataacha kuiendesha magogoni anavyotaka manake anavitendea kazi vyote
 
Je hii ni Vita mpya inayokuja:

Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:

Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio inayoongoza kwa kupewa deals nyingi na Wizara ya Ujenzi toka enzi za mzee wa vijisenti?
Inasemekana Pombe alikuwa anapigwa vita na mtandao asirudi ujenzi ili waendelee kuzifaidi fwedha za Ujenzi. Ni nani alikuwa anaifahamu kampuni ya Estim mpaka 2005? Je ilipataje deal la ujenzi wa kitega uchumi na UVCCM?
JK amemuweka Mwakyembe pale ili amsaidie Pombe kunyang'anya kazi zote za Estim zilizopatikana kimagendo?
Naomba mchango!

Ni vizuri kuweka heshima ya JF kwa kuandika habari za kweli na ulizofanyia kazi kwa asilimia 100 badala ya kuishushia heshima kwa kuandika taarifa usizojua na ni za uongo mtupu.
Estim ni kampuni ya Subash Patel na siyo RA
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom