First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Ni baadhi ya matatizo ya aibu kabisa wabunge tumezoea kuwaona nayo!
Mbunge mzima, mwakilishi wa wananchi, ulienda kutoa na kutetea hoja mjengoni unalala waziwazi!! Hapa wahusika mnawajua,
lingine la lugha, kama hujui English ya nini unajifanya unaitumia? Nakupa mifano miwili ya wabunge, mmoja wa jimbo langu kabisa...
Mh Jitu V Soni (CCM), yeye anaropoka na kujidai kuwa mbunge mwenye cheo cha kuwawakilisha wabunge kule SuA, Lakini anadai wanafunzi wa pale hawana tofauti na wa sekondari za kawaida ambazo hazina maabara. Eti wao wanajifunza kwa vitendo zaidi badala ya practicle!!! Mhh
Mbunge wa Serengeti, Mh Kebwe, (CCM) anadai Tanzania kuna maeneo makubwa ya vijana kujiajiri, hivyo ni aibu kulalamika kwamba hakuna Unemployment(akiongelea kwa jinsi ya positive) mhh!! Braaaaa!
swali.
Wanalazimishwa kutia vionjo vya Kiingereza?
Mbunge mzima, mwakilishi wa wananchi, ulienda kutoa na kutetea hoja mjengoni unalala waziwazi!! Hapa wahusika mnawajua,
lingine la lugha, kama hujui English ya nini unajifanya unaitumia? Nakupa mifano miwili ya wabunge, mmoja wa jimbo langu kabisa...
Mh Jitu V Soni (CCM), yeye anaropoka na kujidai kuwa mbunge mwenye cheo cha kuwawakilisha wabunge kule SuA, Lakini anadai wanafunzi wa pale hawana tofauti na wa sekondari za kawaida ambazo hazina maabara. Eti wao wanajifunza kwa vitendo zaidi badala ya practicle!!! Mhh
Mbunge wa Serengeti, Mh Kebwe, (CCM) anadai Tanzania kuna maeneo makubwa ya vijana kujiajiri, hivyo ni aibu kulalamika kwamba hakuna Unemployment(akiongelea kwa jinsi ya positive) mhh!! Braaaaa!
swali.
Wanalazimishwa kutia vionjo vya Kiingereza?