Haya ni madai ambayo yamekuwa yakitolewa na watu. Je yana ukweli
Any way mimi ngoja nisichangie hapa, maana yanazungumzwa mengi wengine wanasema eti kifungo cha babu Seya nacho kimetokana na roho yake ya visasi inasemekana jamaa alimkamulia sehemuwanafunzi wanaofukuzwa kila leo udsm ni wahanga wa hilo. kisa eti kuna baadhi yao walimzomea kipindi fulani huko nyuma. watu wanabana pua kulizungumza hili, lakini ndiyo hali halisi na mtu yeyote asiniulize evidence.
jk si kiongozi mzuri.
wewe una chuki binafsi na kikwete,jichunguze halafu pia una gubu.
wanafunzi walifukuzwa kwa sababu walivunja sheria za chuo (by laws) ambazo walizisomewa pale kwenye m degree ktk wiki ya kwanza ya orientation.utamhusishaje kikwete.fanya kazi wewe acha kulalamika apa.
habari zenu za kwenye kitchen party na kwenye kahawa ndo unatuletea hapa.