Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
Madela wa Madilu, I salute you.
Umesahau moja,
Hawa ndiyo wale huwatengea mafisadi viti vya mbele kanisani na kuwapamba kwa kila namna ya sifa na kuwapa madaraka kedekede kama M/kiti kamati ya ujenzi, Fedha n.k.
Umesahau moja,
Hawa ndiyo wale huwatengea mafisadi viti vya mbele kanisani na kuwapamba kwa kila namna ya sifa na kuwapa madaraka kedekede kama M/kiti kamati ya ujenzi, Fedha n.k.