Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..
Mr. Cheap popularity.
Jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..
Mr. Cheap popularity.
That's not cheap popularity, JK yupo kwenye kampeni kazi mojawapo ni kuwafikia wapiga kura.
Walemavu wanahaki sawa kama watu wengine, hii ni kuafaka kwa JK kusalimiana na mpiga kura wake katika mazingira yaleyale aliyopo huyu dada.
JK endelea kukusanya kura za kishindo
Wajinga mpigieni kura JK, Ili tujue idadi kamili ya wapumbavu nchini wako asilimia ngapi kwa kuhesabu kura za ccm.:confused2:
Jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..
that's not cheap popularity, jk yupo kwenye kampeni kazi mojawapo ni kuwafikia wapiga kura.
walemavu wanahaki sawa kama watu wengine, hii ni kuafaka kwa jk kusalimiana na mpiga kura wake katika mazingira yaleyale aliyopo huyu dada.
jk endelea kukusanya kura za kishindo
What we dont know is presidency is not just shaking hands with people of various kinds, but is comprising of coordination of people and resources of the entire society, by using best available alternatives, applying all the strenght society have to overcome society weaknesses, playing very well with the opportunities of that society against outside threats, leading (driving) that society towards the desired achievable sustainable goals.
Mtu wa watu yes! Kaweza kuunganisha watu na rasilimali tulizonazo kututoa katika umasikini na kutufikisha tunapokusudia? Kuwasalimia vilema ni kuonyesha unawajali? Mbona kwa miaka mitano ya serikali yake kashindwa hata kutunga sheria ya kuwalazimisha wamiliki wa vyombo mbalimbali kuweka miundombinu ya kuwasaidia walemavu (mfano majengo)?
Think wisely!!!!!!!