JK....Ngoma anazimudu!!!!

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
JK.jpg
 
Jakaya ni mkwere, ngoma na nyimbo ndio utamaduni wao ndio maana hasahau kucheza mara anapopata nafasi!!
 
utaanguka wewe.........au umesahau...


Mkuu umenichekesha na kuniondoa stress zote nilizokuwa nazo na mi ngoja nikupe kisindikizio
..........cheza cheeeeza Jakaya katika katika mpaka chini baby.........
..........cheza cheeeeeza Jakaya katika katika mpaka chini mtoto.....
Ila asisahau watu wana hasira naye na asipoangalia cha moto atakiona.
 



Hiyo ni Profoma invoice ambayo mwenyekiti wa kampeni za kikwete (A. Kinana) ame-present kwa waandishi wa habari kama ushahidi kwamba ndege ya serikali ambayo Dr. slaa amemtishia mama kikwete kuitumia kwa matumizi ya kumkampenia mumewe. Kinana anadai CCM iliikodi hiyo ndege ya serikali kihalali. Ichunguze na uisome kwa makini kisha tafakari haya machache

  • <LI class=MsoNormal>idara ya ndege za serikali (Tanzania Government Flights Agency) haina mamlaka ya kukodisha ndege zake kwa matumizi nje ya serikali. Je, nani anawajibika kwa ukiukwaji huu wa mamlaka? Kinana amesema, idara imekuwa ikikodisha ndege kwqa watu binafsi tangu zamani, je, nani aseme hilo-yeye au CEO wa hiyo idara? Je, wako tayari kutoa takwimu za nani na nai kakodi hizo ndege baada ya kuonyesha mamlaka ya kukodisha ndege? au biashara imeanza baada ya Dk Slaa kulipua hilo bomu? <LI class=MsoNormal>matumizi ya dola za kimarekani 3000 kwa saa kwa masaa matano (jumla dola 15,000 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania mil. 20) kwa mama kikwete si anasa? kwa kazi gani hasa? mama kikwete ni nani hata CCM iingie gharama kubwa hivyo? <LI class=MsoNormal>serikali siku zote imekuwa ikikataza matumizi ya fedha za kigeni kwa malipo (transactions) yoyote hapa nchini, kwa nini hawjafanya wanachohubiri? <LI class=MsoNormal>ukisoma hiyo invoice inaonyesha imetolewa tar. 28/8 na malipo yakafanyika tar. 31/8 (siku 3 baadae), je ni utaratibu kuchukua mzigo kabla ya malipo? tarehe ya profoma invoice kutolewa (28/8/2010) ndio tarehe anayotuhumiwa mama kikwete kutumia hiyo ndege, je, profoma ilitolewa siku hiyohiyo na ndege kutumika siku hiyohiyo? <LI class=MsoNormal>ni kiwewe au Mungu katufunulia kwa mtu mzito kama CEO (aliyeandika hiyo invoice) kukosea mara tatu kwenye hati moja kuandika USD 15,000 /=? maana alama ya /= inamaanisha shilingi ya kitanzania sasa which is which;shilingi 15,000 au dola 15,000?
  • ikumbukwe kwamba Kinana ana rekodi chafu sana ya ufisadi na biashara haramu (jamaa ni msomali na wasomali wanajulikana kwa magendo). Juzijuzi, meli yake imekamatwa na shehena kubwa ya meno ya tembo huko mashariki ya mbali-eti akajibu "meli yake lakini mzigo si wake"
Watanzania wenzangu tuzinduke...nchi inatafunwa...inafilisiwa na kikundi cha watu wachache (syndicate). Hii si consipiracy theory ni hali halisi. Tusimame kuikomboa nchi yetu. Waliotutanglia waliikomboa toka kwa mkoloni mzungu...ni zamu yetu kuikomboa toka kwa mkoloni wa kitanzania (CCM)!!!

Kwa ushahidi alioutoa Kinana, CCM imeonyesha ni mabingwa wa

  1. <LI class=MsoNormal>anasa (milioni 20 kwa masaa matano kwa Salma kwa ajili ya ulaji wa mumewe)
  2. kufoji hata risiti
Nakusihi sambaza hii e-mail japo kwa watanzania watano wenye uchungu na nchi yao .

Pia, tarehe 31 Oktoba usiwe na sabau yoyote ya kuacha kupiga kura!!!
 

Attachments

  • PROFOMA INVOICE YA KUKODI NDEGE YA SERIKALI.doc
    150 KB · Views: 38
Back
Top Bottom