LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
Huyu ndiyo kiongozi ametoa uhuru wa kuongea kwa kila mtu na yuko karibu na wananchi kwa kila jambo anawapenda sana watanzania wote yuko pamoja nao katika shida na raha,Raisi msikivu ata kambi ya upinzani bungeni wamethibitisha hilo,hongera sana Jakaya M kikwete mungu akubariki sana kwa mazuri yote wachache tu hawajuhi mazuri yako na si kama hawajuhi kweli wanajifanya wanapotosha umma ila watakukumbuka utakapomaliza uongozi wako,CCM daima!
Nafikiri kati ya watumwa wa chama wee ni kati yao!
Wewe wapelekee taarifa hii ya kwmb raia wameamua kupokea chochote mletacho iwe posho ya chakula,iwe ya ng'ombe,iwe ya hata mbuzi wa maziwa na kondoo wao wanaipokea tu kwn wanajua ni kodi zao ya haki wamerudishiwa.
Hila na njama yote ya magamba tunayo mifukoni tayari!
Yao ni ngumu sana kwa Watanzania!