LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Wakuu,
Naona katika Chama cha Magamba wana utaratibu wa kuvuana magamba mara baada ya kutuhumiwa! Mimi naona JK naye avuliwe gamba kwa tuhuma za aibu za kuhongwa suti na wamiliki wa Kempinsky! Tuhuma za kukwapua mafungu ya EPA ya kumsaidia kuingia kwenye Jumba letu la Magogoni tutamsamehe bure!
Nawasilisha!
Naona katika Chama cha Magamba wana utaratibu wa kuvuana magamba mara baada ya kutuhumiwa! Mimi naona JK naye avuliwe gamba kwa tuhuma za aibu za kuhongwa suti na wamiliki wa Kempinsky! Tuhuma za kukwapua mafungu ya EPA ya kumsaidia kuingia kwenye Jumba letu la Magogoni tutamsamehe bure!
Nawasilisha!