RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Jk kulikiri kuwa serikali ni moja ya watuhumiwa wa utesaji wa Dr ulimoboka kisha kuagiza vyombo vya dola kuichunguza serikali imekaeje wadau? inawezekanaje serikali kujichunguza yenyewe? JK kushindwa kutoa tamko juu ya tume huru kwa maoni yangu ni ushahidi mwingine ya kuhusika kwake kwenye hili tukio.