Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,467
- 17,311
Kuna habari zisizo rasmi kuwa mjomba mkulu...amegawa kama pipi nafasi 4 za ukuu wilaya kwa vijana wake/ndugu wa karibu watoto wa kijiweni wa king'oko...kama 4 hivi....majina yao Husein Mohamed na wengineo....ana watupa Namtumbo na Tandahimba......habari zaidi zitafuata....