MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Yapata miaka takribani 10 tokea wimbo wa msanii wa bongoflava Joseph Haule anayefahamika pia kama Prof Jay (Heavy weight MC, Wamitulinga, MC shupavu) uitwao ndio mzee kuingia sokoni , na yapata miaka 5 toka wimbo huo utolewe kabla ya awamu ya nne ya uongozi wa Taifa letu kuanza chini ya Rais Kikwete.
Jambo la kushangaza na kushtua ni kuwa ujumbe uliomo kwenye wimbo huu, unashabihiana sana na ahadi za kiongozi wetu mkuu wa nchi aliye madarakani, japo ulitoka kabla ya yeye kuchukua madaraka ya nchi na hivyo kuufanya ujumbe huu kuonekana kama unabii flani..!
Hebu tujaribu kuusikiliza wimbo huu na kujaribu kuoanisha na ahadi za JK alizozitoa kabla na baada ya kuchukua uongozi wa nchi yetu...! Sikiliza kasha tafakari....!
YouTube - Ndio mzee Professor jay ft Juma nature
Jambo la kushangaza na kushtua ni kuwa ujumbe uliomo kwenye wimbo huu, unashabihiana sana na ahadi za kiongozi wetu mkuu wa nchi aliye madarakani, japo ulitoka kabla ya yeye kuchukua madaraka ya nchi na hivyo kuufanya ujumbe huu kuonekana kama unabii flani..!
Hebu tujaribu kuusikiliza wimbo huu na kujaribu kuoanisha na ahadi za JK alizozitoa kabla na baada ya kuchukua uongozi wa nchi yetu...! Sikiliza kasha tafakari....!
YouTube - Ndio mzee Professor jay ft Juma nature