JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
bado anaitumia jana nimewasiliana nae.hii namba ndo anakuwa anapokea haraka sana, 0754777775. sijui kwa nini yeye bado anatumia vodacom wakati raia tumeanza kugoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado anaitumia jana nimewasiliana nae.hii namba ndo anakuwa anapokea haraka sana, 0754777775. sijui kwa nini yeye bado anatumia vodacom wakati raia tumeanza kugoma!
hii namba ndo anakuwa anapokea haraka sana, 0754777775. sijui kwa nini yeye bado anatumia vodacom wakati raia tumeanza kugoma!
Duh ha ha kwahiyo hata hela asibebe? hamchelewi kusema hata salary asipewe, maana hatumuoni viti virefu na kwenye gahawa.
nadhani tumpongeze kwa hilo kwa kuweza kujiweka katika mazingira ya kusikiliza matatizo ya wananchi kupitia njia zote za mawasilianoHivi mkuu wa nchi kutembea na simu ya mkononi hata kwenye official events huku anajibu au kupiga simu au anapokea ujumbe ni sawa?
na wala nchi pia..sioni ubaya wowote hapo. Kama anaitumia ku keep in touch na wanae na familia yeake kwa ujumla kuna ubaya gani?
Kwa Rais inayeigiza hata mimi naona hakuna ubaya,Lakini kwa Rais makini hawezi kuwa na simu wakati yuko kwenye issue muhimu.Nafikiri hapa watu wanachanganya Rais JK kama ni kitu kimoja wakati wote,Kama kuna official event nafikiri anawasaidizi lukuki wa kuhandle official matters...Inabidi ajifunze nidhamu.Uhalali wa jambo hautokani na Obama kufanya hivyo au mwingine yeyote.Tukumbuke Rais ni Taasisi
Hakuna ubaya wowote kwa Jk kuwa na simu yake. Kama Obama anasimu yake masaa 24 na ni rais ambaye anatakiwa ulinzi tosha, itakuwa Huyo Jk wa developing country.