tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
Ni mara nyingi nimesikia hata hapa JF kwamba JK ni mtu wa visasi.
Kama ni kweli miye naamini sasa ndiyo tutakoma. Kwa kuwa hatukuwapigia kura jamaa na mafisadi ndiyo watatukomoa kwa hali ngumu ya maisha wakati wao wanakula 'kuku kwa bomba'.
Je nini suluhisho la maisha ya mtanzania? Sanduku la kura naamini kwa katiba tuliyonayo si jibu.
Katiba mpya ni kama ndoto maana kwa JK na mafisadi ni sawa na kusema jitundike kamba mwenyewe au chimba kaburi lako.
Peoples power.............what is the solution?
Miye nimejitahidi kufanya kazi kwa nguvu na akili kwa muda but nimechoka maana kile kidogo unachopata kinachukuliwa na mafisadi kupitia richmond, dowans, ....
Great thinkers.......let us think of a solution to this hell.
Nawatakia heri ya mwaka mpya. Amani ya Mungu Mwenye enzi iwe nanyi nyote.
Kama ni kweli miye naamini sasa ndiyo tutakoma. Kwa kuwa hatukuwapigia kura jamaa na mafisadi ndiyo watatukomoa kwa hali ngumu ya maisha wakati wao wanakula 'kuku kwa bomba'.
Je nini suluhisho la maisha ya mtanzania? Sanduku la kura naamini kwa katiba tuliyonayo si jibu.
Katiba mpya ni kama ndoto maana kwa JK na mafisadi ni sawa na kusema jitundike kamba mwenyewe au chimba kaburi lako.
Peoples power.............what is the solution?
Miye nimejitahidi kufanya kazi kwa nguvu na akili kwa muda but nimechoka maana kile kidogo unachopata kinachukuliwa na mafisadi kupitia richmond, dowans, ....
Great thinkers.......let us think of a solution to this hell.
Nawatakia heri ya mwaka mpya. Amani ya Mungu Mwenye enzi iwe nanyi nyote.