Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
yaani huyo ndo president ,,mchana kupokea mwendesha baiskeli wa Geita ,usiku birthday ya mama kafikisha miaka 47..hivi huyu anawaza kufanya kazi kweli huyu
wewe vipi!akiwa raisi ndio asifanye hata birthday ya mkewe?au unataka wanaume wa nje ndio wamfanyie?kwa vile ni raisi asiwe hata na muda wa kucheka na mkewe jamani?