JK Mkandara mshikaji wako anaua Elimu ya Tanzania sasa kwa msada wa CCM

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Sina hakika JK anajua ama kama kawaida tutasema kwamba JK ana nia njema ila mafisadi wanamzunguka lakini hata pale anapojua kwamba kazungukwa ataishia kuingia NEC na CC na kusema hakamatwi mtu wala kufukuzwa Chama lakini bado tuna imani kwamba JK ana nia njema juu ya kupambana na rushwa .

Mkandara Chuo kimemshinda na sasa sijajua Watanzania tutegemee nini baada ya Chuo kushindwa kufanya mambo muhimu kwa jina la kukosa pesa huku dowans wamekuwa wanapenda kwa kulipwa 152mn kwa siku.

Nimefika ofisini kwa Mkandara leo hii na kusikia mengi ila yalito nigusa ni kwamba Chuo kilipeleka bajeti na imekuwa approved nusu yake.Ile nusu ambayo serikali ilisema kwa maandiko kwamba inatoa Mkandara yeye kaleta ofisini nusu ya ile nusu na anasema Serikali haina pesa .

Kwa mwendo huo naomba ufikie mweneywe UD uulize uambiwe hakuna mwalimu kaenda ama ataenda kokote na hasa kwenye teaching practice japokuwa sasa wanafunzi wako field .

Mkandara kasababisha hata pesa za wafadhili zimekuwa shida maana wameshanga kuona kwamba pesa zile zime enda katika matumizi ya kawaida kwa nia ya kukopa na kulipa badaye kwa mategemeo yale yale ya kupewa pesa na serikali .

Nimejiuliza na sikupata majibu ya swali hili .Kuna malikimbikizo ambayo sasa yapo na pesa za walimu hawa zime enda kwenye mambo ya jumla ya Chuo na hawataenda popote .Je Mkandara wakisha lipa pesa hizi yeye atawalipa hawa watu ili waende huko wanako takiwa kuwa >

Baada ya kuonyesha shida sasa nauliza hatima ya Elimu kwenye Vyuo ama Chuo hicho iko mkononi kwa JK maana haya ni mauza uza yake .

Mengi nitasema baadaye kwa sasa nawapa hili .
 
Sina hakika JK anajua ama kama kawaida tutasema kwamba JK ana nia njema ila mafisadi wanamzunguka lakini hata pale anapojua kwamba kazungukwa ataishia kuingia NEC na CC na kusema hakamatwi mtu wala kufukuzwa Chama lakini bado tuna imani kwamba JK ana nia njema juu ya kupambana na rushwa .

Mkandara Chuo kimemshinda na sasa sijajua Watanzania tutegemee nini baada ya Chuo kushindwa kufanya mambo muhimu kwa jina la kukosa pesa huku dowans wamekuwa wanapenda kwa kulipwa 152mn kwa siku.

Nimefika ofisini kwa Mkandara leo hii na kusikia mengi ila yalito nigusa ni kwamba Chuo kilipeleka bajeti na imekuwa approved nusu yake.Ile nusu ambayo serikali ilisema kwa maandiko kwamba inatoa Mkandara yeye kaleta ofisini nusu ya ile nusu na anasema Serikali haina pesa .

Kwa mwendo huo naomba ufikie mweneywe UD uulize uambiwe hakuna mwalimu kaenda ama ataenda kokote na hasa kwenye teaching practice japokuwa sasa wanafunzi wako field .

Mkandara kasababisha hata pesa za wafadhili zimekuwa shida maana wameshanga kuona kwamba pesa zile zime enda katika matumizi ya kawaida kwa nia ya kukopa na kulipa badaye kwa mategemeo yale yale ya kupewa pesa na serikali .

Nimejiuliza na sikupata majibu ya swali hili .Kuna malikimbikizo ambayo sasa yapo na pesa za walimu hawa zime enda kwenye mambo ya jumla ya Chuo na hawataenda popote .Je Mkandara wakisha lipa pesa hizi yeye atawalipa hawa watu ili waende huko wanako takiwa kuwa >

Baada ya kuonyesha shida sasa nauliza hatima ya Elimu kwenye Vyuo ama Chuo hicho iko mkononi kwa JK maana haya ni mauza uza yake .

Mengi nitasema baadaye kwa sasa nawapa hili .

Sema wewe Lunyungu,

Nikisema mimi kuhusu Mukandala naambiwa kuwa sijasoma UD kwa hiyo siwezi kusema chochote .... oopppsss..... sijui sababu ilikuwa nini vile ....lol
 
Unajua viongozi wetu wanaiendesha nchi kama ya kwao na wanataka kutupeleka kule wao wanakokujua kwa maslahi yao na vizazi vyao.

Unajua kama wakitupatia misingi bora ya elimu tutakuwa tunaufahamu wa haki na wajibu wetu kama watawaliwa na watawala wa baadaye na hapo ndipo hawataki tufike kwani tutakapokuwa tumefunguka macho malengo yao yatakuwa hayajafikiwa ndio maana mipango ya kuandaa Taifa lisiloweza kufikili wanaliandaa kuanzia sasa.

Ndugu zangu naona niwashauli kuwa wewe hapo ulipo fanya juu chini ili kuhakikisha kuwa wananchi wengi wa Taifa ili wanapata elimu bora ili huko tuendako tuweze kuyajua mengi na kuwakemea etu hao wanaojiita viongozi wa watu.Nawashukuru sana
 
Uprofesa wa Mkandara hauhusu uongozi. JK anadhani kwamba mtu akiwa prof. basi ni kiongazi mzuri which is very wrong. Mkandara ni professa wa sayansi ya jamii na mambo ya siasa na sio wa management. JK umechemsha sana.
 
Mimi binafsi siamini kama Prof Mukandara amepata hicho cheo kupitia kwa JK, pamoja na kwamba walikuwa washikaji katika life na hata kikazi kama mshauri wake.

Sasa tuliangalie suala ya UDSM, ni kweli inaporomoka tena kwa kasi sana! Nitazungumzia hili kwa kuonyesha data.

Katika orodha ya Vyuo bora Afrika na duniani, UDSM kwa mwaka 2005 tulikuwa wa 13 (kwa Afrika) na 1,237 (kwa dunia). Mwaka huu wa 2005 tulikuwa nyuma ya vyuo 11 (vya kutoka Afrika Kusini) na 1 (kutoka Misri), Kwa maana hiyo Tanzania kama nchi ilikuwa ya 3 Afrika.

Katika toleo ya mwaka huu (2008), UDSM imekuwa ya 22 (kwa Afrika) na 4,081 (kwa dunia). Kwa kipindi hiki tumekuwa nyuma ya vyuo 11 (vya kutoka Afrika Kusini), 2 (vya kutoka Egpty), 2 (kutoka Reunion), 2 (kutoka Morocco), na 4 (kutoka Senegal, Zimbabwe, Kenya na Mauritius). Kwa maana hiyo Tanzania kama nchi imekuwa ya 9 Afrika, kisha angalia jinsi ilivyopromoka kwa orodha ya dunia kutoka kuwa ya 1,237 mpaka 4,081!

Kuporomoka huku ni kwa kipindi cha miaka mitatu tu! Na kama serikali inapunguza bajeti ya uendeshaji wa UDSM, Je kufika 2010 tutakuwa tumeporomoka kiasi gani?

Hii inasikitisha sana, kwani serikali inaendelea kufungua vyuo vingine wakati hawajali ubora wa vyuo vilivyopo!
 
Mjadala unaendelea lakini sijaona mtu anaona yale niliyo yasema .UDSM iko taabani inahiti evacuation ya haraka .Walimu hata makato yao yanaongezeka , sina hakika kama mishahara wanapata on time .Mukandara ana peta .Chuo kiko taabani sana jamani pigeni makelele ya mwizi JK aamke huko alikoajue tunarudi kule kubaya zaidi .

Chuo kinafujwa na pesa hazifiki zinako takiwa .
 
UDSM iliharibiwa na Prof. Mathew Luhanga. Kile kinachoonekana kwenda mrama kwa sasa ni matokeo ya mipango na sera mbovu zilizoasisiwa na kupigiwa upatu na Luhanga. Hivyo, Mkandara amerithi chuo ambacho kilishaharibiwa. Kurejesha mambo katika usawia wake si jambo la mara moja na itachukua muda mrefu kurekebisha hayo yaliyokwisha haribika toka kitambo. Kimsingi namfananisha mkandara na JK. Maana wote wamerithi matatizo kutoka kwa watangulizi wao.

Naweza kusema kwa 100% kwamba Luhanga ndiye amekiaharibu chuo kikuu cha DSM. Nilo tayari kukosolewa kwa hili, na wala siyo kwamba namtetea Mkandara.
 
UDSM iliharibiwa na Prof. Mathew Luhanga. Kile kinachoonekana kwenda mrama kwa sasa ni matokeo ya mipango na sera mbovu zilizoasisiwa na kupigiwa upatu na Luhanga. Hivyo, Mkandara amerithi chuo ambacho kilishaharibiwa. Kurejesha mambo katika usawia wake si jambo la mara moja na itachukua muda mrefu kurekebisha hayo yaliyokwisha haribika toka kitambo. Kimsingi namfananisha mkandara na JK. Maana wote wamerithi matatizo kutoka kwa watangulizi wao.

Naweza kusema kwa 100% kwamba Luhanga ndiye amekiaharibu chuo kikuu cha DSM. Nilo tayari kukosolewa kwa hili, na wala siyo kwamba namtetea Mkandara.

Tangu lini UDSM kimeharibika???

Miezi kama mitatu iliyopita kilikua chuo makini leo yamekua hayo tena. DUU kazi kweli kweli
 
Mimi binafsi siamini kama Prof Mukandara amepata hicho cheo kupitia kwa JK, pamoja na kwamba walikuwa washikaji katika life na hata kikazi kama mshauri wake.

Sasa tuliangalie suala ya UDSM, ni kweli inaporomoka tena kwa kasi sana! Nitazungumzia hili kwa kuonyesha data.

Katika orodha ya Vyuo bora Afrika na duniani, UDSM kwa mwaka 2005 tulikuwa wa 13 (kwa Afrika) na 1,237 (kwa dunia). Mwaka huu wa 2005 tulikuwa nyuma ya vyuo 11 (vya kutoka Afrika Kusini) na 1 (kutoka Misri), Kwa maana hiyo Tanzania kama nchi ilikuwa ya 3 Afrika.

Katika toleo ya mwaka huu (2008), UDSM imekuwa ya 22 (kwa Afrika) na 4,081 (kwa dunia). Kwa kipindi hiki tumekuwa nyuma ya vyuo 11 (vya kutoka Afrika Kusini), 2 (vya kutoka Egpty), 2 (kutoka Reunion), 2 (kutoka Morocco), na 4 (kutoka Senegal, Zimbabwe, Kenya na Mauritius). Kwa maana hiyo Tanzania kama nchi imekuwa ya 9 Afrika, kisha angalia jinsi ilivyopromoka kwa orodha ya dunia kutoka kuwa ya 1,237 mpaka 4,081!

Kuporomoka huku ni kwa kipindi cha miaka mitatu tu! Na kama serikali inapunguza bajeti ya uendeshaji wa UDSM, Je kufika 2010 tutakuwa tumeporomoka kiasi gani?

Hii inasikitisha sana, kwani serikali inaendelea kufungua vyuo vingine wakati hawajali ubora wa vyuo vilivyopo!

Mkuu haya maneno mazito sana, kutoka 13 mpaka 22, Tanzania tumekwisha nilikuwa sijui hili. Lakini ukweli ni kwamba Tanzania tunajua tunakotoka tunakoelekea hatujui.

Elimu tanzania inaelekea ukingoni kabisa ni muda tu hata UDSM itazimika tu. Kila kitu tumefanya siasa nafikiri mwisho wa siku siasa zitatufikisha pazuri.

We need new strategy we need new Tanzania, Tanzania ya mafisadi tukiendelea nayo tumekwisha.

Kumbuka kuna watanzania waejitolea maisha yao kuwezesha nchi kuwa mahaali ilipo lakini sasa wanaonekana kama takataka. Fikiria akina Shivji, othman, Luhanga nk. Hawakuwa mafisadi lakini malipo yao ni kichekesho. Tunapoelekea ni pazuri. shukran Lunyungu kwa kukumbusha suala hili. Tumekwisha sasa.
 
UDSM iliharibiwa na Prof. Mathew Luhanga. Kile kinachoonekana kwenda mrama kwa sasa ni matokeo ya mipango na sera mbovu zilizoasisiwa na kupigiwa upatu na Luhanga. Hivyo, Mkandara amerithi chuo ambacho kilishaharibiwa. Kurejesha mambo katika usawia wake si jambo la mara moja na itachukua muda mrefu kurekebisha hayo yaliyokwisha haribika toka kitambo. Kimsingi namfananisha mkandara na JK. Maana wote wamerithi matatizo kutoka kwa watangulizi wao.

Naweza kusema kwa 100% kwamba Luhanga ndiye amekiaharibu chuo kikuu cha DSM. Nilo tayari kukosolewa kwa hili, na wala siyo kwamba namtetea Mkandara.

Ngereja maneno yako si ya kweli kabisa angalia mwenendo wa UDSM miaka kadhaa iliyopita na sasa utagundua Luhanga ali keep standard
 
UDSM iliharibiwa na Prof. Mathew Luhanga. Kile kinachoonekana kwenda mrama kwa sasa ni matokeo ya mipango na sera mbovu zilizoasisiwa na kupigiwa upatu na Luhanga. Hivyo, Mkandara amerithi chuo ambacho kilishaharibiwa. Kurejesha mambo katika usawia wake si jambo la mara moja na itachukua muda mrefu kurekebisha hayo yaliyokwisha haribika toka kitambo. Kimsingi namfananisha mkandara na JK. Maana wote wamerithi matatizo kutoka kwa watangulizi wao.

Naweza kusema kwa 100% kwamba Luhanga ndiye amekiaharibu chuo kikuu cha DSM. Nilo tayari kukosolewa kwa hili, na wala siyo kwamba namtetea Mkandara.

Ngereja,

ningefurahi kama ungeweza kuthibitisha kauli yako! Ninaifahamu UDSM toka enzi za Vice Chancellor Mr Kuhanga kabla ya Prof Mmari mpaka sasa ya Prof Mukandara. Kama kuna VC aliyejitahidi sana ni Prof M Luhanga, huyu ameweza kuiendeleza UDSM kwa njia mbali mbali angalia majengo (lecture rooms, Postg Hostel, Lectures houses) yaliyojengwa, angalia miradi ya UDSM, ikiwemo UCC, UDEC (University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre), ukarabati wa mfumo wa mawasiliano wa library, internet karibu kila bweni, nk. Mwisho angalia chini ya utawala wa Prof Luhanga, mara ngapi imetokea migomo ya wanafunzi, na kwanini. Kisha angalia kwa kipindi hiki kifupi tu cha Prof Mkandara mara ngapi migomo ya wanafunzi imetokea na ni kwanini (nani chanzo)?

Prof Luhanga alikuwa ni kichwa na si mwepesi kukubali kuingiliwa kwasababu za kisiasa!
 
Nahisi hadi atoke madarakani basi kuna mafisadi watakaopewa digrii feki,kwanza election ijayo tu utaona jinsi mijitu itakavyoibuka na maPHD feki frm UDSM hadi ushangae huyo mtu alikua anasoma lini?
 
Sina hakika JK anajua ama kama kawaida tutasema kwamba JK ana nia njema ila mafisadi wanamzunguka lakini hata pale anapojua kwamba kazungukwa ataishia kuingia NEC na CC na kusema hakamatwi mtu wala kufukuzwa Chama lakini bado tuna imani kwamba JK ana nia njema juu ya kupambana na rushwa .

Mkandara Chuo kimemshinda na sasa sijajua Watanzania tutegemee nini baada ya Chuo kushindwa kufanya mambo muhimu kwa jina la kukosa pesa huku dowans wamekuwa wanapenda kwa kulipwa 152mn kwa siku.

Nimefika ofisini kwa Mkandara leo hii na kusikia mengi ila yalito nigusa ni kwamba Chuo kilipeleka bajeti na imekuwa approved nusu yake.Ile nusu ambayo serikali ilisema kwa maandiko kwamba inatoa Mkandara yeye kaleta ofisini nusu ya ile nusu na anasema Serikali haina pesa .

Kwa mwendo huo naomba ufikie mweneywe UD uulize uambiwe hakuna mwalimu kaenda ama ataenda kokote na hasa kwenye teaching practice japokuwa sasa wanafunzi wako field .

Mkandara kasababisha hata pesa za wafadhili zimekuwa shida maana wameshanga kuona kwamba pesa zile zime enda katika matumizi ya kawaida kwa nia ya kukopa na kulipa badaye kwa mategemeo yale yale ya kupewa pesa na serikali .

Nimejiuliza na sikupata majibu ya swali hili .Kuna malikimbikizo ambayo sasa yapo na pesa za walimu hawa zime enda kwenye mambo ya jumla ya Chuo na hawataenda popote .Je Mkandara wakisha lipa pesa hizi yeye atawalipa hawa watu ili waende huko wanako takiwa kuwa >

Baada ya kuonyesha shida sasa nauliza hatima ya Elimu kwenye Vyuo ama Chuo hicho iko mkononi kwa JK maana haya ni mauza uza yake .

Mengi nitasema baadaye kwa sasa nawapa hili .

Mkandara aliwekwa hapo na JK kwa sababu za kisiasa ili kuendelea kuwadumaza akili na kuvuruga mwamko wa wanachuo hao!
Wamekuwa wakifanya UFISADI na sasa hata uchaguzi wa serikali ya chuo unaingiliwa na maslahi ya chama ili kuweka viongozi watakaoweza kuwatetea mafisadi.
Tungeomba wawape msaada vijana na wasiwafundishe ufisadi na huku pesa kibao wakizifanyia kufuru!
Mlimani hawatakiwi kuwa na shida yeyote ile...!
Iwe maji,chakula,pa kulala ama hata mishahara ya maprofessor...Ni wakati wa kujenga Taifa lenye AFYA ZA KIFIKIKRA, KIROHO NA KIMWILI!
 
Kupunguza fungu chuo k ikuu huku unaongeza wanafunzi nikutafuta kumaliza elimu yetu. Lakini sishangai maana hii ni kawaida tu. Si wana wao watawapeleka ulaya kusoma na wakati wa uchaguzi waje na majivuno kwamba wanazo digrii ngapi sijui toka so and so university ya uropa? Na kwa uelewa wetu mdogo tutawapigia makofi tutawapa na ubunge kisha uwaziri na baadaye urais kwa kigezo wanachozungumzia wengi wetu humu kwamba hata kama we mtoto wa kiongozi una haki ya kugombea. Sawa una haki lakini mbona haki zetu za elimu wanatunyima na wanahitaji haki zao tu?
 
Back
Top Bottom