Hakukuwa na ulazima wa rais Kikwete kulinganisha utekelezaji wa miradi kipindi chake na wakati wa Mwl Nyerere! It is just not right na inaweza kuzua mijadala isiyo ya lazima.
Mwl Nyerere alijenga viwanda (Tanganyika packers, mwatex, urafiki, machine tools, etc etc), Air Tanzania ilikuwa na ndege, TRL ilikuwa better, elimu bure, huduma za afya bure. Na tukumbuke wakati huo huo Mwl Nyerere alikuwa mshiriki mkubwa wa mapambano ya ukombozi barani Africa. Na yote alifanya kwa vijihela vya korosho na pareto - madini yalikuwa bado ardhini!
Kikwete amefanya yake mazuri, hahitaji kulinganisha kabisa na Mwl Nyerere.
Mwl Nyerere alijenga viwanda (Tanganyika packers, mwatex, urafiki, machine tools, etc etc), Air Tanzania ilikuwa na ndege, TRL ilikuwa better, elimu bure, huduma za afya bure. Na tukumbuke wakati huo huo Mwl Nyerere alikuwa mshiriki mkubwa wa mapambano ya ukombozi barani Africa. Na yote alifanya kwa vijihela vya korosho na pareto - madini yalikuwa bado ardhini!
Kikwete amefanya yake mazuri, hahitaji kulinganisha kabisa na Mwl Nyerere.