JK mgeni rasmi uzinduzi wa barabara

Inafurahisha sana kuwa hata wewe umeliona hilo, kama hakuna cha kuzinduwa angekuwa Rais wa uzinduzi?

Nnachompendea Kikwete ni pale ambapo amefanya kuli Rais yeyote yule, kuanzia Afya, Barabara, Elimu, Utalii, Viwanda, Demokrasia, Uwekezaji, Kudhibiti mali za Serikali na Kupambana na Rushwa.

Hakuna yeyote wa kabla yake anaefikia kiwango chake cha utendaji kilichotukuka.

Utendaji wa maovu 'uliotukuka' ??
Angalia hapa....
  • Mauaji ya albino hayajawahi kutokea Tanzania isipokuwa ni katika kipindi cha JK !! Na mpaka sasa kesi kibao za mauaji hayo zinaning'inia tu !!
  • Ufisadi wa hali ya juu sana Tanzania umetokea wakati wa JK, mpaka fisadi alifikia kukejeli watu kuwa wanahangaishwa na 'vijisenti tu'
  • Utoroshaji wanyama pori umekidhiri wakati wa JK. jamaa wala hajali, yeye yuko majuu anatanua..
  • Elimu imedorora sana wakati wa JK, mpaka wanafunzi wanachaguliwa kuingia sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika !!!

Huu ndio utendaji 'uliotukuka' wa JK !!!!
 
Mkuu watu wengi wamekuwa wakiulizza hili swali. Naambiwa kilichozinduliwa wakati huo ilikuwa ni Mradi wote ambao utakuwa na phase kadhaa. Kinachozinduliwa sasa ni ujenzi wa barabara za mradi huo phase one ambayo ni barabara ya kimara - Ubungo - Kivukoni na Magomeni - Morocco pia Msimbazi - Kariakoo. Naambiwa kutakuwa na phase nyingine baada ya hii phase.

Mkuu Kimbunga, hawa jamaa kutoka Ujerumani kiboko wameifunika jangwani na vifaa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kimbunga, hawa jamaa kutoka Ujerumani kiboko wameifunika jangwani na vifaa.

Mkuu nilikuwa niko busy kushuhudia mitambo nikaona Rais amepanda kuwasha mtambo.

Katika hotuba yake Rais amesema World Bank wanatoa pesa za kujenga fly-overs pale Ubungo na mwakilishi wa WB alikuwepo naye amekubali kutoa pesa.

Kama umesikia Rais amesema itafutwe permanent solution ya stand ya mabasi ya ubungo badala ya temporary solution ambayo Tanroads na dart walikuwa wakiifikiria kwamba wajenga kituo cha muda pale UDSM. Rais amekemea hizi solution za muda kuwa ni matumizi mabaya ya pesa ya umma. Amewapa wiki moja wampelekee taarifa wameamua nini. Mkuu wa Mkoa ameagizwa kuwa mwenyekiti wa kusimamia hilo.
 
Hivi huu mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi haukuwahi kuzunduliwa mwaka 2010?

Mkuu bahati nzuri Rais katika hotuba yake ametoa maelezo ya ufunguzi huu na uzinduzi alioufanya kule feri mwaka 2010. Maelezo yake ni kama yale ambayo niliyatoa hapo awali.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu nilikuwa niko busy kushuhudia mitambo nikaona Rais amepanda kuwasha mtambo.

Katika hotuba yake Rais amesema World Bank wanatoa pesa za kujenga fly-overs pale Ubungo na mwakilishi wa WB alikuwepo naye amekubali kutoa pesa.

Kama umesikia Rais amesema itafutwe permanent solution ya stand ya mabasi ya ubungo badala ya temporary solution ambayo Tanroads na dart walikuwa wakiifikiria kwamba wajenga kituo cha muda pale UDSM. Rais amekemea hizi solution za muda kuwa ni matumizi mabaya ya pesa ya umma. Amewapa wiki moja wampelekee taarifa wameamua nini. Mkuu wa Mkoa ameagizwa kuwa mwenyekiti wa kusimamia hilo.

Mkuu Kimbunga chukuwa hii...
Pix-7.JPG
 
Last edited by a moderator:
Hivi John Mnyika alikuepo kwenye uzinduzi.

Mkuu mimi bahati nzuri nilikuwa miongoni mwa raia waliohudhuria kwenye hiyo sherehe. Bahati mbaya sikumuona Mbunge wa CDM hata mmoja hata Mnyika ambaye jimbo lake litafaidika na huo mradi. Walikuwepo wabunge Ndungulile na Mtemvu. Bahati nzuri hizo sherehe leo hazikutekwa na CCM zilikuwa ni sherehe za kiserikali kabisaa.
 
Ritz, unaweza kusema ni kwanini rais anazindua mradi mara mbili?

Mkuu FJM,
Rais kalitolea ufafanuzi pitia hotuba yake kama upo Tanzania soma magazeti ya kesho.
 
Last edited by a moderator:
barabara za Kilwa, Nyerere, Morogoro, Bagamoyo,Mandela, Kawawa na Sam Nujumo zina maeneo ya kutosha ya kuwa na njia hata 6 kila upande,tatizo ni mipango ya watawala wako wanaoendekeza njaa! Kila siku utasikia barabara inakarabatiwa na kupanuliwa,kumbe inaongezwa njia moja,baada ya miezi michache foleni zinarudi pale pale! Akili za tope!

Hizi akili zenu tope tupu sisi tunajadili tatizo la barabara kama nchi kumbe nyie mnaangalia kwa Dar tu? Msongamano Dar utatatuliwa na kuwa na public transportation yenye uhakika na huo ndio mpango unaoendelea kwa sasa hata nchi zilizoendelea public transportation zinapewa kipau mbele tulifanya makosa tulipoua UDA ufumbuzi wa Dar unafanyiwa kazi.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
vipi Dr. Slaa hakuwepo? Angejipatia maneno mengi ya kuwaeleza wananchi kwenye M4C

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu wangu chama,
Hili ni pigo kubwa kwa Dr Slaa alichofanya leo JK makamanda wote wamechukia na hizi barabara ndio itakuwa fimbo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.
 
Last edited by a moderator:
Utendaji wa maovu 'uliotukuka' ??
Angalia hapa....
  • Mauaji ya albino hayajawahi kutokea Tanzania isipokuwa ni katika kipindi cha JK !! Na mpaka sasa kesi kibao za mauaji hayo zinaning'inia tu !!
  • Ufisadi wa hali ya juu sana Tanzania umetokea wakati wa JK, mpaka fisadi alifikia kukejeli watu kuwa wanahangaishwa na 'vijisenti tu'
  • Utoroshaji wanyama pori umekidhiri wakati wa JK. jamaa wala hajali, yeye yuko majuu anatanua..
  • Elimu imedorora sana wakati wa JK, mpaka wanafunzi wanachaguliwa kuingia sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika !!!

Huu ndio utendaji 'uliotukuka' wa JK !!!!


  • Wakati wa Kikwete unayaona hata makaburi ya Albino na unajuwa kuwa wanauliwa, nioneshe kaburi la Albino kabla y ujio wa Kikwete na kama ulikuwa unajuwa wanauliwa au hawauliwi.


  • Kabla ya Kikwete walikuwa hawatoroshwi wanachukuliwa kinaga ubga. Jee, umesema kuhusu Kikwete kawarudisha wanyama wepi waliokuwa wametoweka? mbona hilo hulisemi?


  • Wakati wa Kikwete elimu imepanda mpaka kupindukia. Jiulize hilo baraza la mitahani liliwapitashaje? Na uliyajuwa hayo kabla ya Kikwete?

Kikwete ndiye anasahihisha mitihani? Halafu mara tu wanatwambia wamekosea kwa wanafunzi wa wengine, au hilo hujui?
 
Back
Top Bottom