spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Nilikuwa Dar wiki iliyopita, siku hizi Dili ni kuwa na Eneo tuu inakuwa yard ya Makontena na ndiyo sababu ya Kina Masaburi pia kujiuzia UDA-ndiyo wanaitaka ile yard ya kurasini wakodishe ili makontena yahifadhiwe pale.
Sikuamini macho yangu yani hadi Tabata kuna Yard za makontena savi ni jambo la kawaida sana kuona Mandel milimania road Malori zaidi ya miambili yamejipanga kila upande wa barabara yakisubiri kupakia mokentena!
Hiyo ni degree feki, au basi ilikuwa ni Gentleman. Hivi kwa nini bandari ya nchi kavu Isaka iwekufa?? Hivi kwa nini hawaonei huruma watu wa Dar wanavyopata tabu na mijasho ktk Dala dala kwa foleni kisa Malori na uchache wa Barabara?
Ni jambo la Aibu sana kwa kiongozi kupenda matanuzi tuuu wakati nchi inadidimia kiuchumi.
Jk ni kiongozi dhaifu anyeamini Fly Over itapunguza foleni-Jibu ni NEVER. Mwaka 2006/2007 wakati ule wa mafuriko ya Elnino, nakumbuka maeneo hayo hayo ya Tabata barabara ya Mandela karibu na Mabibo kuta za hayo magodown zilivunjwa na maji yaliyotokea Morogoro milimani tena mcha mchana na mvua haikuwepo. Nataka kusema nini Ukifika vingunguti bondeni ule mto Msimbazi umejaa nyumba za walalaho Dar, hakika ikitokea mvua kama ile, Maiti nyingi zitapotelea Baharini!!!
Watu wameuziana viwanja kwa misheni town, niliwahi kuwaza hata kuwa na " Msimbazi Valley Authority-MVA" ili idhibiti ujengaji holela.
Kwa nini huyu haumizi kichwa juu ya taifa? Kwa nini Makao Makuu Reli isihamishiwe hata Pugu watu wakapandie kule au basi ajenge miyadi maeneo ya Gongo la mboto, Kinyerezi kwenda Kimara na Mbezi? huko hakujaa auache mji upumue!
Yote hayo ni kujilisha upepo, hajifunzi kwa kina Kagame au Kibaki matanuzi ya ajbu ajbu hayapo. Saivi ana projekt ya kuwajengea mafisadi paradiso Kigamboni city, ndicho anachokifikiria,hana jingine.
Engine ya Locomotive inaweza kubeba tani hadi 400. namaanisha kontena zaidi ya Ishirini zilizo na tani hadi 18 gross weght. hapo ni malori zaidi ya Ishirini umepunguza Dar umeyaelekeza Isaka Dry Port-Shinyanga vijijini.
Bandari ya Dar Es Salaam kwa siku inapakua zaidi ya kontena 500 kwa siku namaanisha ili ufanisi uwe mzuri, zaidi ya malori 500 kwa siku yazunguke town achilia yale 500 yanayoleta mizigo na mengine 500 yawe standby. Hiyo ndiyo akili ya mchumi inayoamini kuwa uchumi umepanda kwa sababu Dar kuna foleni kumbe mfumo mbovu aliouweka ndio unamfanya ashindwe kujua nini tatizo.
Upeo wake labda unaishia hapo, anaamini kuwa kuna maendeleo kwa kujaza malori mjini Dar.
"Wewe bado mdogo, huwezi kuendesha nchi-Subiri" Mwl. Nyerere 1995.
Maneno hayo siyasahau kwani hatimae nimeelewa ya kuwa Mwl. hakumaanisha kuwa udogo ilikuwa ni Umri bali ilikuwa uwezo wa kuendesha uchumi wa nchi
Nawasilisha.
Nilikuwa Dar wiki iliyopita, siku hizi Dili ni kuwa na Eneo tuu inakuwa yard ya Makontena na ndiyo sababu ya Kina Masaburi pia kujiuzia UDA-ndiyo wanaitaka ile yard ya kurasini wakodishe ili makontena yahifadhiwe pale.
Sikuamini macho yangu yani hadi Tabata kuna Yard za makontena savi ni jambo la kawaida sana kuona Mandel milimania road Malori zaidi ya miambili yamejipanga kila upande wa barabara yakisubiri kupakia mokentena!
Hiyo ni degree feki, au basi ilikuwa ni Gentleman. Hivi kwa nini bandari ya nchi kavu Isaka iwekufa?? Hivi kwa nini hawaonei huruma watu wa Dar wanavyopata tabu na mijasho ktk Dala dala kwa foleni kisa Malori na uchache wa Barabara?
Ni jambo la Aibu sana kwa kiongozi kupenda matanuzi tuuu wakati nchi inadidimia kiuchumi.
Jk ni kiongozi dhaifu anyeamini Fly Over itapunguza foleni-Jibu ni NEVER. Mwaka 2006/2007 wakati ule wa mafuriko ya Elnino, nakumbuka maeneo hayo hayo ya Tabata barabara ya Mandela karibu na Mabibo kuta za hayo magodown zilivunjwa na maji yaliyotokea Morogoro milimani tena mcha mchana na mvua haikuwepo. Nataka kusema nini Ukifika vingunguti bondeni ule mto Msimbazi umejaa nyumba za walalaho Dar, hakika ikitokea mvua kama ile, Maiti nyingi zitapotelea Baharini!!!
Watu wameuziana viwanja kwa misheni town, niliwahi kuwaza hata kuwa na " Msimbazi Valley Authority-MVA" ili idhibiti ujengaji holela.
Kwa nini huyu haumizi kichwa juu ya taifa? Kwa nini Makao Makuu Reli isihamishiwe hata Pugu watu wakapandie kule au basi ajenge miyadi maeneo ya Gongo la mboto, Kinyerezi kwenda Kimara na Mbezi? huko hakujaa auache mji upumue!
Yote hayo ni kujilisha upepo, hajifunzi kwa kina Kagame au Kibaki matanuzi ya ajbu ajbu hayapo. Saivi ana projekt ya kuwajengea mafisadi paradiso Kigamboni city, ndicho anachokifikiria,hana jingine.
Engine ya Locomotive inaweza kubeba tani hadi 400. namaanisha kontena zaidi ya Ishirini zilizo na tani hadi 18 gross weght. hapo ni malori zaidi ya Ishirini umepunguza Dar umeyaelekeza Isaka Dry Port-Shinyanga vijijini.
Bandari ya Dar Es Salaam kwa siku inapakua zaidi ya kontena 500 kwa siku namaanisha ili ufanisi uwe mzuri, zaidi ya malori 500 kwa siku yazunguke town achilia yale 500 yanayoleta mizigo na mengine 500 yawe standby. Hiyo ndiyo akili ya mchumi inayoamini kuwa uchumi umepanda kwa sababu Dar kuna foleni kumbe mfumo mbovu aliouweka ndio unamfanya ashindwe kujua nini tatizo.
Upeo wake labda unaishia hapo, anaamini kuwa kuna maendeleo kwa kujaza malori mjini Dar.
"Wewe bado mdogo, huwezi kuendesha nchi-Subiri" Mwl. Nyerere 1995.
Maneno hayo siyasahau kwani hatimae nimeelewa ya kuwa Mwl. hakumaanisha kuwa udogo ilikuwa ni Umri bali ilikuwa uwezo wa kuendesha uchumi wa nchi
Nawasilisha.