Jk mawaziri wako wanatekeleza magizo yako au wanakupotezea?

KOMBAJR

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
5,827
1,271
Katika hali inayopelekea sintofahamu kwa wananchi ni utendaji kazi wa Serikali ya Jk katika kutekeleza Ahadi ya Maisha bora kwa Kila Mtanzania. Kumekuwa na semina elekezi nyingi vikao vingi lakini bado mambo yanakwenda hali jojo!JK amekuwa akionyesha ukali na kuwakoromea katika vikao mawaziri juu ya utekelezaji wa maagizo yake kama inavyoonekana kwenye hii picha:
bml1.jpg Maswali ya msingi:
1. Maagizo anayowapa hayana tija ndiyo maana wanampotezea?
2. wamemchoka ila wanashindwa kumwambia?
 
Kwenye hii picha, Mheshimiwa Raisi anaonekana amekasirika sana!!! Wamemuudhi nini yarabi??? Ila dharuba kama inamwelekea Dr Mgimwa, au??? Halafu Waziri Mkuu kajituliza tu pembeni, na Mhe Sitta anachungulia kujua kulikoni!!!
 
Kwenye hii picha, Mheshimiwa Raisi anaonekana amekasirika sana!!! Wamemuudhi nini yarabi??? Ila dharuba kama inamwelekea Dr Mgimwa, au??? Halafu Waziri Mkuu kajituliza tu pembeni, na Mhe Sitta anachungulia kujua kulikoni!!!

Magembe anaangalia kama anaelewa vile akitoka hapo back to square one:frusty:
 
hakuna anayemwelewa maana mgimwa ni dr.wa ukweli sitta ni lawyer Domo kubwa ni prof.Kayanza nayeye dr.wa makunyanzi wote wanamwangalia huyu ****** vipi mbona anamaindi mambo asiyoyajua????Kwa ufupi hapa Tz hakuna raisi wala mawaziri ila majizi yakiongozwa na jizi jenzao na hapo yanapanga kumalizia hata pesa za kununulia dawa na walala hoi ili yakajenge nyumba marekani!!!Shame on you JK na vibaraka wako
 
Tena ni Aibu kubwa kwa Rais kuburuzwa na waziri wa ujenzi kwenda kuzindua vichochoro badala ya barabara za juu Kama alivyo ahidi 2010. Mwenzake kibaki waziri wake wa ujenzi kafanya kufuru kwa hiyo mibarabara ya juu anayojenga huko Nairobi
 
hakuna anayemwelewa maana mgimwa ni dr.wa ukweli sitta ni lawyer Domo kubwa ni prof.Kayanza nayeye dr.wa makunyanzi wote wanamwangalia huyu ****** vipi mbona anamaindi mambo asiyoyajua????Kwa ufupi hapa Tz hakuna raisi wala mawaziri ila majizi yakiongozwa na jizi jenzao na hapo yanapanga kumalizia hata pesa za kununulia dawa na walala hoi ili yakajenge nyumba marekani!!!Shame on you JK na vibaraka wako

Inshort Mkuu bila kumungunya maneno wala kupepesa macho timu inapofungwa kuna mawili:
Either kocha mbovu na maagizo au malekezo yake hayaeleweki au hayana tija kwa mustakabali wa timu
or Wachezaji ni wabovu awawezi kuendana na kasi ya mchezo
Soln Ni kuoverall!:A S 39:
 
Tena ni Aibu kubwa kwa Rais kuburuzwa na waziri wa ujenzi kwenda kuzindua vichochoro badala ya barabara za juu Kama alivyo ahidi 2010. Mwenzake kibaki waziri wake wa ujenzi kafanya kufuru kwa hiyo mibarabara ya juu anayojenga huko Nairobi

Umeahidi umejaribu 10% ya utekelezaji wa ahadi then unacapitalize watu wakupigie makofi....inaingia akili kweli hii?:nono:
 
Katika hali inayopelekea sintofahamu kwa wananchi ni utendaji kazi wa Serikali ya Jk katika kutekeleza Ahadi ya Maisha bora kwa Kila Mtanzania. Kumekuwa na semina elekezi nyingi vikao vingi lakini bado mambo yanakwenda hali jojo!JK amekuwa akionyesha ukali na kuwakoromea katika vikao mawaziri juu ya utekelezaji wa maagizo yake kama inavyoonekana kwenye hii picha:
View attachment 65792 Maswali ya msingi:
1. Maagizo anayowapa hayana tija ndiyo maana wanampotezea?
2. wamemchoka ila wanashindwa kumwambia?

kama vile vibarua wanagombania mgawo uliokuw haujapangwa kiasi cha kila mtu...Sijui kwanini kama kila kitu haki work asijariu mbadala?au ndio insanity hiyo..?
 
Kwenye hii picha, Mheshimiwa Raisi anaonekana amekasirika sana!!! Wamemuudhi nini yarabi??? Ila dharuba kama inamwelekea Dr Mgimwa, au??? Halafu Waziri Mkuu kajituliza tu pembeni, na Mhe Sitta anachungulia kujua kulikoni!!!

attachment.php
 
kama vile vibarua wanagombania mgawo uliokuw haujapangwa kiasi cha kila mtu...Sijui kwanini kama kila kitu haki work asijariu mbadala?au ndio insanity hiyo..?

zote bongo lalalalalaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom