KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Katika hali inayopelekea sintofahamu kwa wananchi ni utendaji kazi wa Serikali ya Jk katika kutekeleza Ahadi ya Maisha bora kwa Kila Mtanzania. Kumekuwa na semina elekezi nyingi vikao vingi lakini bado mambo yanakwenda hali jojo!JK amekuwa akionyesha ukali na kuwakoromea katika vikao mawaziri juu ya utekelezaji wa maagizo yake kama inavyoonekana kwenye hii picha:
Maswali ya msingi:
1. Maagizo anayowapa hayana tija ndiyo maana wanampotezea?
2. wamemchoka ila wanashindwa kumwambia?
Maswali ya msingi:
1. Maagizo anayowapa hayana tija ndiyo maana wanampotezea?
2. wamemchoka ila wanashindwa kumwambia?