M
MegaPyne
Guest
Habari ni kwamba. JK anaondoka leo kwenda Ufaransa. atafanya ziara huko na pia kabla ya kurudi nyumbani, atakwenda kuonana na PAPA Benedict.
Habari zaidi zitawajia baadaye
Habari zaidi zitawajia baadaye
naona ni vizuri tu kwa mheshimiwa wetu asafiri every time he can, anaenda nje 2 wks anakaa nyumbani siku 4 ( mapokezi ya nguvu ) then anasafiri tena wk kadhaa ! wow ! i like that idea !
Licha ya safari hii ya France na Italy pia kabla ya Mwaka kwisha atakwenda Japan na Spain na Katikati ya Novemba ana safari ya Uganda kwenye Commonwealth Summit!,Safari hii ya France/Italy pia anaambatana na Wafanyabiashara.