Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Nimejaribu kuwaza na kuwazua nikagungua kuwa Rais wetu hana mapenzi na wananchi wake bali yupo madarakani kwa ajili ya kujitafutia maslahi yeye binafsi, anahangaika kutafuta sifa na international Night Out Allowances. Kama JK angekuwa nchini naimani huu mgomo wa madaktari ungekuwa umeshaishi. Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria alikatisha safari zake na kufwatilia kwa ukaribu suala la Boko Haram. Huyu wetu anasikia maDK wanagoma yeye ndo anaweka nguo kwenye sanduku kuelekea Davos, anaenda huko kwa faida ya nani ilhali anaacha watu wanakufa huku nyuma??Hawa sio wananchi anaokwenda kuwapigania huko Davos??Je angemtuma mtu mwingine huo ujumbe asingeupata???Kwa kweli kitendo alichokifanya kinaonesha jinsi anavyopuuza masuala muhimu ya kitaifa na kuelekeza nguvu kwenye masuala ya kipuuzi. Kwa kufanya hivyo ilitupasa tuwe barabarani kumshinikiza arudi nyumbani kumaliza suala la MaDK. Hivi VOTE OF NO CONFIDENCE INAPIGWAJE??MBONA MM NAHIC WATZ WENGI SANA SASA HIVI HATUNA CONFIDENCE NA HII SERIKALI???au vote hiyo inapigwa na WAFU??
Kumbekeni waathirika wakuu wa mgomo wa maDK ni sisi watega ndege, wenzetu wakiumwa mafua wanakwea ndege hao India, kimsingi huu mgomo unatuhusu sisi wapiga kura wa hali ya chini. So bila kushinikiza Serikali iumalize tunaoangamia ni sisi. Mimi nadhani hii ndiyo ilikuwa fursa nzuri ya kutukutanisha barabarani na kuandamana. Lakini tupo tunapumzika na kushabikia mgomo ilhali ndugu zetu wanapoteza maisha. Ni lini sisi tutakua tayari kupigania maslahi yetu???Mbona tumekuwa kama UNOKA wa Chinua Achebe???Ni tija gani ataileta tukamuelewa wakati sisi tupo bize misibani kwa kufiwa na baba zetu, mama zetu ndugu zetu na tumeachwa yatima??Hivi kwann nlizaliwa nchi ya watu wa hivi???Dah kwa uvumilivu huu hata moton sisi tutaishi bila shida, Mweh!!!
Kumbekeni waathirika wakuu wa mgomo wa maDK ni sisi watega ndege, wenzetu wakiumwa mafua wanakwea ndege hao India, kimsingi huu mgomo unatuhusu sisi wapiga kura wa hali ya chini. So bila kushinikiza Serikali iumalize tunaoangamia ni sisi. Mimi nadhani hii ndiyo ilikuwa fursa nzuri ya kutukutanisha barabarani na kuandamana. Lakini tupo tunapumzika na kushabikia mgomo ilhali ndugu zetu wanapoteza maisha. Ni lini sisi tutakua tayari kupigania maslahi yetu???Mbona tumekuwa kama UNOKA wa Chinua Achebe???Ni tija gani ataileta tukamuelewa wakati sisi tupo bize misibani kwa kufiwa na baba zetu, mama zetu ndugu zetu na tumeachwa yatima??Hivi kwann nlizaliwa nchi ya watu wa hivi???Dah kwa uvumilivu huu hata moton sisi tutaishi bila shida, Mweh!!!