mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Source Jambo Leo aka magamba
Linadai kuwa alikuwa anangojea sherehe za muungano na wapo watakao ondoka na wapo watakao baki.
Mie nadhani kaona sio upepo tena ni dhoruba inakuja ni mara ngapi anatakiwa kufanya ivyo anaghairii?
Baraza halivunjwi hadi uchaguzi mpya 2015 mlie tuu endeleeni kulilia pipi